Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Jambe Ni jembe alipita nae tuIla huyu demu si kuna kipindi walisema aliangukia kwa meneja wa Harmonize Jembe Ni Jembe na ndio alimtoa kwa Aslay au ilikua story tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ziwa limelala tayari. Au nyie ndo wale I'll mradi shimoHuyo dada ni mkali nammaindi kinoma
ht mi nashanga!..demu used kbsa unamjengea nyumba na kumnunulia gari?!..shikamoo ndumba!Mbona ziwa limelala tayari. Au nyie ndo wale I'll mradi shimo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna watu wana hela za michezo hapa mjini, mtu mwnye akili timamu unamnunulia gari na kumjengea singo maza tena danga[emoji23][emoji119][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nomaDuh nawewe ni mwanaume? jiuzulu tafadhali, kabla hatujakuchukulia hatua! Pumbu zetu zikabidhi kaunta, rudi kaungane na kina Giggy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiungo Cha uzazi ndo kimeleta ofisSijui kwanini wanawake huwa hawasemi ukweli...
Kwamba nimeanzisha biashara hii ila kiungo cha uzazi kimeinywea hasaa hasaa...
Kuliko kushinda huko IG mnashindana locations...
Tizama sasa.
Jembe ni jembe kamla ila siunajua dr mkare akila anasepaIla huyu demu si kuna kipindi walisema aliangukia kwa meneja wa Harmonize Jembe Ni Jembe na ndio alimtoa kwa Aslay au ilikua story tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikute uyo mama ana hudumiwa na uyo binti yake sasa kwanini asimsapotiHuyu binti mpaka mama yake mzazi huwa anasapoti binti yake anavyodanga
Ila bongo aisee. Danga linahudumia ukoo mzima bila kujuaUsikute uyo mama ana hudumiwa na uyo binti yake sasa kwanini asimsapoti