Test Yourself.

Jibu ni 'B' hii ni kwakua kama ingekua jibu ni 'A' au 'C' basi zero ingetambulika kama 'Double Zero'

Thread closed. Sasa tunaanza utani.
 
hapo kuna ishu ya kutofautisha single na double numbers.
jibu hapo ni B kwa sababu swali linataka jibu liwe kwenye form ya single number.
 
Nimejibu si kwa sababu nataka unipe LIKE, bali kwa sababu niliamua kutoa mawazo yangu.

Jufunze kuheshimu mawazo ya wengine kabla hujakosoa!

Swali halihitaji maelezo/mawazo/mapendekezo.
 
Swali halihitaji maelezo/mawazo/mapendekezo.

Wee jamaa inaelekea hata ulikua haujui jibu la hili swali lako, kuna kosa gani -KANA- amefanya hapo? Ametoa jibu kama ulivyotaka kisha akaeleza kwanini amechagua B kuwa jibu, naona unataka kutuletea mambo ya gymkana. Binafsi sijaona alipokosea swahiba wangu.
 

Sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…