The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Sijui.
Basi tulia ujifunze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui.
Basi tulia ujifunze.
Wee jamaa Vapor kabisa,
Mwenyewe kakiri hakutakiwa kufanya alichofanya,
Wew nani unambie nini natakiwa kufanya ama vinginevyo.?
Nilitaka nikupuuze ila kwa sababu unataka kuelewa wacha tueleweshane,
View attachment 905491
Hii post inauliza nini.?
Kuna maelekezo ya namna ya jibu linavyotakiwa liandikwe?
atakaeandika 2024 au B watapata au watakosa? Pia hapa hatupo darasani kwenye mtihani, Je, ni vibaya mtu kutoa maelekezo kwanini amechagua jibu kuwa B?
Imeuliza "Whichi has two zero and two four"
Bado haujajibu swali langu la msingi, yametolewa maelekezo maalum ya namna sahihi ya kujibu hilo swali kwenye hilo swali kama wewe unavyotaka?
Unaweza kuipuuza hoja yangu lakini sio kunipuuza mimi.
Bro usikalili,
Hakuna mahali nilisema ni vibaya alichofanya,
Angalia watangulizi wake ama yeyote baada yake kama yupo aliye jibu kama yeye.
Hii chitchat, ilikua swali rahisi tu la ku-boost akili.
Tuishie hapa, kama hujaelewa siku nyingine utanielewa sio lazima iwe leo.
Chichat brother, one love, life is too short. Don't take it too serious as no one will get alive.
Hata hivyo nikupongeze kwa uvumulivu, sifa ya muhimu sana kwenye mijadala. Umejitahidi mno kubaki kwenye hoja na kutokuleta jazba.
Naona mnatikisana kidogo wakuu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimefurahi kwamba tunapeana challenge kwa amani bila kupanic.
Heshima kwenu The Monk & Cpaitalpool
Nimeona mkuu, kumradhi!Its Capitalpool Chief, nashukuru pia.
Usijali Mkuu,Nimeona mkuu, kumradhi!
Ukitaka kuelewa vizuri kwanini jibu ni B just read the numbers kama zilivyo two zero and two four (2024),alafu urudie kusoma swali upya.Nimekupa LIKE si kwa sababu umejibu sahihi,
Jifunze kujua swali linataka nini kabla hujajibu.