Test

Test

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Swali la kwanza(marks 40)
Jinsi ya kumwingiza simba ndani ya friji.
Fungua friji halafu msukume ndani na ufunge mlango wa friji.

Jinsi ya kumwingiza twiga ndani ya friji.
Fungua friji na umtoe simba nje halafu msukume ndani twiga na ufunge mlango wa friji.

Sasa ni mda wa wanyama wote/viumbe hai nchi kavu na majini kwenda kushiriki mashindano ya mbio huko msituni,
mnyama ambaye hatashiriki ni twiga aliyefungiwa ndani ya friji.

Swali inakuja.....kuna ziwa ambalo kuna mamba hatari na ngumu sana kuvuka hilo ziwa bila silaha,na unatakiwa uvuke bila silaha utafanyaje???

Swali la pili (marks 40)
Timu ya mpira wa miguu ya Tanzania ina wachezaji 11,ilienda kucheza nchini Uganda.
walipofika Uganda waliingia uwanjani,walipoingia uwanjani kulikuwa na mchezaji mmoja wa Tanzania ambaye anacheza
namba 5,wakati anaingia uwanjani amevaa jezi kama wenzake,kavaa viatu,akavaa soksi.ile anaingia uwanjani
refa akapiga filimbi ya kumrudisha nje ya uwanja.
Je huyo mchezaji ana kosa gani??????

Swali la tatu(marks 5)
Kuku alipanda mlimani,halafu akaruka juu na kutema chini.
je hayo mate yatadondokea chini au yataelekea juu?

Swali la nne(marks 5)
Ng'ombe ni watanzania ila huwa anaenda kula majani kenya,siku moja akazaa.
huyo ndama atakuwa wa tanzania au wa kenya?

Swali la tano(marks 10)
Unatakiwa uvuke mpaka wa tanzania na kenya,kwa sheria iliyowekwa anayetoka tanzania haruhusiwi kwenda kenya.
na wakenya harusiwi kwenda tanzania,na pale mpakani kuna mlinzi,unajua mda anaolala huyo mlizi ni sekunde 20,
unatakiwa uvuke kwa huo mda mlinzi analala,tatizo ile unafika mda umeshaisha na mlinzi anaamka.
sasa utafanyaje ili uvuke??
 
Unaweza kuyajibu hasa swali lankwanza na latano?
La tano
Ukifika mpakani na muda umeisha unageuza chap mlinzi atadhani umevuka mpaka atakulazimisha urudi ulipo toka
hence ni kama anakulazimisha uende kule unako kutaka. Kama hujaaelewa nipo tayari kutumia maneno mwngine
 
Swali la pili
Wachezaji 11 wanaingia uwanjani wanamkuta mwingine anacheza namba 5 naye anaingia na kufanya wachezaji wawe 12.

Refa anatimiza wajibu wake
1675269915351.png
 
Back
Top Bottom