Testimony: 1000 years in the world of darkness (1)

Testimony: 1000 years in the world of darkness (1)

Ok fine,can you give us the right way we can do to worship God...it seems devils are so clever than our minds.. So how can we get punished by God due to worshiping idols? and He knows that our minds are not aware of what is right way and what is a wrong way of worship, because devils are the ones who confuse us?
Sure
 
Ok fine,can you give us the right way we can do to worship God...it seems devils are so clever than our minds.. So how can we get punished by God due to worshiping idols? and He knows that our minds are not aware of what is right way and what is a wrong way of worship, because devils are the ones who confuse us?
Remember what Jesus said to the Samaritan Woman on the book of John Chapter 4 ... In Short True Worship is composed of two elements that is IN SPIRIT and IN TRUTH . These elements are interdependent, you can't separate one from the other . When you Worship in Spirit with no Truth is not Worship of God . And when you Worship in Truth but not in Spirit also called idle Worship . NOTE : IT IS VERY DIFFICULT TO FIND THIS KIND OF WORSHIP IN CHURCHES , SO WHAT TO DO ? YOU MUST FIND IT BY ANY PRICE
 
Wasikutishe wewe tumia pete shetani hawana Chao mim binafsi siwez tishiwa nisitumie au kuvaa dhahabu shetan technically Hana chake hapa Dunia na kwenye universe yote
You are deceiving yourself, you have already programmed that's why you see it as Normal thing . Beware is Coming... better to believe it than to ignore .
 
Hoja zenu zina mushkeli..!! Huyo mwakasege Damu ya yesu kaitolea wapi? Na ana uthibitisho gani kama ni Damu ya Yesu? Au ni ndoto zake za mchana aliota?
You are totally polluted on your mind , you need deliverance. Go and ask witches , demons , Spirits of sicknesses etc is where you can get the answer of your doubt .
 
You are deceiving yourself, you have already programmed that's why you see it as Normal thing . Beware is Coming... better to believe it than to ignore .
Kujua elimu ya damu ya YESU ni wajibu wa kila mwanadamu kama hujui pole

Ukiwa na elimu ya damu ya YESU hivyo vitu alivyoongea mtoa uzi lazima uvijue ni haki kwa kila mwanadamu kujua elimu ya damu ya YESU
 
Miye napenda sana, gold aisee, ya kaisari tumpe kaisari ya Mungu tumpe Mungu.
Utakuja kujutia ... wakati wako wa kulia na kusaga meno ukikujilia. Ukiachaña navyo hutapungukiwa na chochote. Kumbuka uliumbwa kwa mfano wake . Think of it
 
Utakuja kujutia ... wakati wako wa kulia na kusaga meno ukikujilia. Ukiachaña navyo hutapungukiwa na chochote. Kumbuka uliumbwa kwa mfano wake . Think of it
Kwanin mtu ache kuvaa gold mambo mengine yanastaajabisha, Gold na vitu vyote ameumba Mungu kwanin watu wasitumie shetani Hana umiliki wa kitu chochote kile
 
Utakuja kujutia ... wakati wako wa kulia na kusaga meno ukikujilia. Ukiachaña navyo hutapungukiwa na chochote. Kumbuka uliumbwa kwa mfano wake . Think of it
Aisee miye muslim nasoma kwa ufahamu tuu hayo mambo kwetu gold haijakatazwa wala kujipamba ni ruska aisee.
 
Aisee miye muslim nasoma kwa ufahamu tuu hayo mambo kwetu gold haijakatazwa wala kujipamba ni ruska aisee.
Mchungaji wangu alikuwa mtoto wa Shekhe , ana ushuhuda mzito kwenye huduma yake .
" Iko njia ionekanayo ni sawa machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia ya upotevuni " Be aware
 
Kwanin mtu ache kuvaa gold mambo mengine yanastaajabisha, Gold na vitu vyote ameumba Mungu kwanin watu wasitumie shetani Hana umiliki wa kitu chochote kile
Nani kakupotosha hivyo ya kwamba Shetani hana umiliki wakati yeye ndiye mtawala wa Dunia hii ? Anatawala biashara ama Uchumi, anatawala science , anatawala Elimu uliyo au unayo soma , anatawala historia , anatawala utamaduni , anatawala Afya , anatawala siasa ... anatawala hatima yako . Thread hii ni darasa moja kubwa na lililojumuisha mambo mengi mno .
 
Humu kuna baadhi ya mambo yameongelewa ambayo ni ukweli kabisa na yanafanya ushuhuda huu uwe wa ukweli kabisa, ukiangalia hizi teknolojia zinavyovumbuliwa kwa kasi kipindi hiki ni ngumu kusema ni binadamu ndio anavumbua awe mzungu,mchina n.k jibu ni hapana.

Kuna viumbe ambavyo vinawapatia hii teknolojia taratibu taratibu kutoka kwenye kiwango cha chini mpaka cha juu kabisa ijapokua zipo teknolojia za kutisha ambazo binadamu hajapewa. Ukija kwenye hizi dini zetu ndio usiseme kuna uhuni mtupu unaendelea sio ukristo(roman,urutherani,usabato,ulokole n.k) pamoja na uislamu humo kwenye hizi dini ni uhuni mtupu na nikweli kabisa watu wengi niwadini hawaishi maisha halisi ya kikristo na kiislamu kabisa.

Wengi wanashindwa kujua yakwamba dini ni utamaduni tu.bila kujua hapa ndio shetani anapochukua pointi sababu vitabu vitakatifu vyenyewe kama biblia na quran alishavichakachua kabisa ili mafundisho yake yaendane na falsafa na muongozo anaoutaka yeye. Na hapa nikama mtu anawategemea viongozi wa dini basi imekula kwake.

Mie naamini kumjua MUNGU inabidi kujitoa kwelikweli nakuwa na nia thabiti ndani yako na MUNGU atajifunua na kukupa muongozo mzuri wa kuishi maisha matakatifu. Sababu hata huu mfumo wetu wa maisha ni mfumo feki ambao MUNGU akutupangia tuishi.
Wokovu ni mpango wa Mungu wa kumrejeza mwanadamu kwenye Ufalme wake , ndicho hata aliyekuletea ushuhuda huu kimemtokea . Wokovu siyo Dini hata kama wanakuaminisha kuwa ni Dini.
 
Humu kuna baadhi ya mambo yameongelewa ambayo ni ukweli kabisa na yanafanya ushuhuda huu uwe wa ukweli kabisa, ukiangalia hizi teknolojia zinavyovumbuliwa kwa kasi kipindi hiki ni ngumu kusema ni binadamu ndio anavumbua awe mzungu,mchina n.k jibu ni hapana.

Kuna viumbe ambavyo vinawapatia hii teknolojia taratibu taratibu kutoka kwenye kiwango cha chini mpaka cha juu kabisa ijapokua zipo teknolojia za kutisha ambazo binadamu hajapewa. Ukija kwenye hizi dini zetu ndio usiseme kuna uhuni mtupu unaendelea sio ukristo(roman,urutherani,usabato,ulokole n.k) pamoja na uislamu humo kwenye hizi dini ni uhuni mtupu na nikweli kabisa watu wengi niwadini hawaishi maisha halisi ya kikristo na kiislamu kabisa.

Wengi wanashindwa kujua yakwamba dini ni utamaduni tu.bila kujua hapa ndio shetani anapochukua pointi sababu vitabu vitakatifu vyenyewe kama biblia na quran alishavichakachua kabisa ili mafundisho yake yaendane na falsafa na muongozo anaoutaka yeye. Na hapa nikama mtu anawategemea viongozi wa dini basi imekula kwake.

Mie naamini kumjua MUNGU inabidi kujitoa kwelikweli nakuwa na nia thabiti ndani yako na MUNGU atajifunua na kukupa muongozo mzuri wa kuishi maisha matakatifu. Sababu hata huu mfumo wetu wa maisha ni mfumo feki ambao MUNGU akutupangia tuishi.
Sasa bila dini utamuabuduje Mungu?
 
Nani kakupotosha hivyo ya kwamba Shetani hana umiliki wakati yeye ndiye mtawala wa Dunia hii ? Anatawala biashara ama Uchumi, anatawala science , anatawala Elimu uliyo au unayo soma , anatawala historia , anatawala utamaduni , anatawala Afya , anatawala siasa ... anatawala hatima yako . Thread hii ni darasa moja kubwa na lililojumuisha mambo mengi mno .
Hakuna chochote anachotawala labda wewe wewe ndo anayekumiliki mim animiliki kwa lolote mkuu Kuna kitu kikubwa sana hukijui kuhusu spiritual world pole sana

Shetani ana pretend ni mmiliki wa Dunia lakin kiuhalisia sio mmiliki
 
Yani katika story za uwongo, kubuni za ajabu ajabu ni hii. Mtu anawezaje kutunga upuuzi wote huo? Mtu anaanzaje kuamini ujinga wa kiasi hiki?
Hizo shuhuda za wachungaji uchwara zipo, habari za malango ya shetani sijui chini ya bahari au ziwa Tanganyika ni stori za kahawa kitambo sana!
 
Yani katika story za uwongo, kubuni za ajabu ajabu ni hii. Mtu anawezaje kutunga upuuzi wote huo? Mtu anaanzaje kuamini ujinga wa kiasi hiki?
Hizo shuhuda za wachungaji uchwara zipo, habari za malango ya shetani sijui chini ya bahari au ziwa Tanganyika ni stori za kahawa kitambo sana!
Kwani umeshikiwa fimbo uiamin
 
Hakuna chochote anachotawala labda wewe wewe ndo anayekumiliki mim animiliki kwa lolote mkuu Kuna kitu kikubwa sana hukijui kuhusu spiritual world pole sana

Shetani ana pretend ni mmiliki wa Dunia lakin kiuhalisia sio mmiliki
Shetani hana chochote zaidi ya uongo..
 
You are totally polluted on your mind , you need deliverance. Go and ask witches , demons , Spirits of sicknesses etc is where you can get the answer of your doubt .
Give me the answer stop meandering!! Kama huna majibu nyamaza! Sio kuleta hofu zako hapa zisizo na msingi...ushuhuda wenu acha huko huko kwa huyo aliye kutuma...leta hoja na nini kifanyike hiyo mnaita Damu ya Yesu inapatikana wapi?????? Give the answer!
 
Remember what Jesus said to the Samaritan Woman on the book of John Chapter 4 ... In Short True Worship is composed of two elements that is IN SPIRIT and IN TRUTH . These elements are interdependent, you can't separate one from the other . When you Worship in Spirit with no Truth is not Worship of God . And when you Worship in Truth but not in Spirit also called idle Worship . NOTE : IT IS VERY DIFFICULT TO FIND THIS KIND OF WORSHIP IN CHURCHES , SO WHAT TO DO ? YOU MUST FIND IT BY ANY PRICE
Acha kututisha wewe! na shuhuda zako za Mchongo...njoo na hoja zenye mashiko sio kuongea vitu huna uthibitisho navyo...unaleta Hofu zako hapa kwa kutumia jina Mungu wewe ndio Demon unahitaji deliverance...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shetani hana chochote zaidi ya uongo..
Exactly uongo na kujaza watu hofu ndo maana anaitwa baba wa uongo

Hata ubunifu idea zinatoka kwa Mungu anachofanya shetani yuko sharp kwenye ulimwengu wa kiroho kitu ambacho wanadamu hatuko active anazikwapua zile idea anakuja kudanganya watu eti yeye ndo chanzo Cha idea uongo

Na Kuna idea nyingine shetani hazielewi kabisa anazichukua lakin hajui nin Cha kuzifanyia sababu alilaaniwa mfano idea ya space exploration hazielewagi kabisa ndo maana ameshindwa kutengeneza sayari yake kama Dunia, Shetani kama ananguvu aende mars atengeneze ozone layer watu tukaishi kama hayo mamlaka anayo jibu ni kwamba hawezi
 
Back
Top Bottom