Tetema yafungiwa Kenya

aTanzania tungekuwa makini kama kenya nyimbo nyingi za bongo flavour zimefungiwa maana wasanii wa wa sasa hawana cha kutunga zaidi ya matusi ya nguoni tu
 
Wapuuzi hawa wakenya ndugu zao wanakufa kwa njaa na viribatumbo huko Turkana, wao wako bize kuhakiki maudhui ya tetema!

Upuuzi mtupu!

MK254
 
Hivi kna nyimbo za wakenya tushawahi kuzifungia

Ova
 
Rekodi mbili za Diamond mojawspo "tetema" zimepigwa marufuku nchini Kenya.
Serikali ya Kenya imeziita rekodi hizo kuwa pornography.
Habari hii iko BBC jioni ya leo.

Tukumbuke hata Tanzania kuna rekodi za Diamond zilipigwa marufuku.

My Take:
Diamond inabidi aelewe ustaarabu na global reach ya muziki.
Kuna siku narudi bongo toka Dubai na kupenda kusikiliza miziki ya Afrika kwenye ndege ya Emirates music channel.
Mziki wa Diamond ukawa na listening warning, kuwa mziki huo una porno insinuation na si suitable for the underaged.

Na Diamond aelewe kuwa dunia si Tandale.
 
Rekodi mbili?? Imeelezwa moja??..

Imeandikwa kama ya magazeti na vi-account vya Youtube.

Unakuta kichwa cha habari.

Waziri abaka mchana kweupe
Kumbe mtu anaitwa waziri.
 
Rekodi mbili?? Imeelezwa moja??..

Imeandikwa kama ya magazeti na vi-account vya Youtube.

Unakuta kichwa cha habari.

Waziri abaka mchana kweupe
Kumbe mtu anaitwa waziri.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kila siku zinavyozidikwenda namkumbuka Ruge. RIP
 
Rekodi mbili?? Imeelezwa moja??..

Imeandikwa kama ya magazeti na vi-account vya Youtube.

Unakuta kichwa cha habari.

Waziri abaka mchana kweupe
Kumbe mtu anaitwa waziri.
Mkapa alawiti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe ni jamaa la Mtwara linaitwa Mkapa
 
Kuna vitabu vinaporn ila havipigwi marufuku.

Dunia ngumu sana hii
Hivyo vitabu vinasomwa kwenye Radio ya Jamii na kuonyeshwa kweenye public TV ?

Dogo na wenzake wa aina yake wabadilike.., nadhani hakuna kipindi ambacho Tanzania wanamuziki wengi wana talent sana, melody nzuri.., vionjo vya kupendeza ila maudhui sio ya kistaarabu.., sidhani kama kubadilisha maudhui ya nyimbo zao kutapoza uzuri.., kwanza ndio miziki yao itadumu zaidi
 
Umepigwa marufuku kupigwa maeneo ambayo ya wazi na yenye muingiliano na watoto lakin Clubs, Bar na kwenye sherehe ambazo hakuna Watoto Ruksa

Aliekuwa Jaji Mkuu wa Kenya yule Mvaa kihereni tayari ame post kwenye Account yake ya Tweeter kumtetea Diamond na kuponda uamuzi huo wa kumfungia Michael Jackson wa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…