Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeeeeeee.... Lugha ya Kiswahili. Ujuwe atujapata Uhuru. Bado tunatawaliwa na Waengereza na nyimbo za Kiswahili atuziewi. KANYAGAhiyo nyimbo[emoji777]
Huo wimbo[emoji818]
Nyimbo nyingi za diamond hazifai kusikilizwa na watu wazima
Yamefika huko?MBONA harmonize hafungiwi?
😂 😂 😂 😂 😂 😂Rekodi mbili?? Imeelezwa moja??..
Imeandikwa kama ya magazeti na vi-account vya Youtube.
Unakuta kichwa cha habari.
Waziri abaka mchana kweupe
Kumbe mtu anaitwa waziri.
Mkapa alawiti 😂😂😂 kumbe ni jamaa la Mtwara linaitwa MkapaRekodi mbili?? Imeelezwa moja??..
Imeandikwa kama ya magazeti na vi-account vya Youtube.
Unakuta kichwa cha habari.
Waziri abaka mchana kweupe
Kumbe mtu anaitwa waziri.
Ndiyo mambo ya kina Sani, Ijumaa na vi-account vingi vya Youtube.Mkapa alawiti [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ni jamaa la Mtwara linaitwa Mkapa
Hivyo vitabu vinasomwa kwenye Radio ya Jamii na kuonyeshwa kweenye public TV ?Kuna vitabu vinaporn ila havipigwi marufuku.
Dunia ngumu sana hii