Tetemeko Kenya

Tetemeko Kenya

svgzs65vyvuvkdg8sf5c988d7dd54b7.jpg
 
Kumbukeni kwamba sehemu hizo hizo za Suswa, Narok County kwenye hiyo barabara ya Mai Mahiu- Naivasha ndio kuliibuka mwanya mkubwa mwaka jana. Wanajeolojia wanasema mwanya huo utakuja kuigawanisha nchi ya Kenya na bara la Afrika mara mbili.
jtXev6QrQ3suswa-pic.jpg
Tetemeko lingine la ardhi likija wenzenu sisi tutawaaga, na masaibu yenu mengi, tuanzishe bara letu jipya la New Afrika! 😀
 
Back
Top Bottom