Tetemeko Kenya

Kumbukeni kwamba sehemu hizo hizo za Suswa, Narok County kwenye hiyo barabara ya Mai Mahiu- Naivasha ndio kuliibuka mwanya mkubwa mwaka jana. Wanajeolojia wanasema mwanya huo utakuja kuigawanisha nchi ya Kenya na bara la Afrika mara mbili. Tetemeko lingine la ardhi likija wenzenu sisi tutawaaga, na masaibu yenu mengi, tuanzishe bara letu jipya la New Afrika! 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…