Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
Man shall not leave by bread alone,ndo maana nyi maskini juu ukishashiba huwezi fikiria,unaona umefika,mtu mwenye njaa huwa very creativeMimeskia kumetokea tetemeko Kenya....
Vp tuwaletee tani ngapi huko......?
Fungukeni Msione aibu Sisi huku vyakula vinaozea kwenye maghala....
Sent using Jamii Forums mobile app
Thnx,uzuri ni hakuna mtu alikufa apart from hio crack kwa road hakuna anything big that happndAcha upuuzi,umekaa apo unakunywa kahawa siku nzima alaf unasema chakula kinaozea ghalani,poleni ndugu na majirani zetu Kenya.
So kenya itakuwa ka continent ingine ama?tutakuwa karibu na Australia?Kumbukeni kwamba sehemu hizo hizo za Suswa, Narok County kwenye hiyo barabara ya Mai Mahiu- Naivasha ndio kuliibuka mwanya mkubwa mwaka jana. Wanajeolojia wanasema mwanya huo utakuja kuigawanisha nchi ya Kenya na bara la Afrika mara mbili.Tetemeko lingine la ardhi likija wenzenu sisi tutawaaga, na masaibu yenu mengi, tuanzishe bara letu jipya la New Afrika! 😀
Kutakuwa na North na South Kenya. Sisi tutaondoka na County zetu za Migori, Taita Taveta, Mombasa, Lamu, Narok na Kajiado. Tukajiunge na wakuria, wadigo na wamaasai wenzetu Tz kwenye bara letu jipya la New Afrika tuwaache mkizinguana huko Kenya yenu ya kaskazini. [emoji1]So kenya itakuwa ka continent ingine ama?tutakuwa karibu na Australia?
Hii haiezi happen,hao watu huongea tu hata kitambi walisema tukifika 21 century sijui kutakuwa na gari zinaendeshwa juu ya hewa ,ati sijui 21 century hakutakuwa na beaches walisema vitu mob but inakuanga tu ufala,hio ikafanyika dunia inaisha hahaKutakuwa na North na South Kenya. Sisi tutaondoka na County zetu za Migori, Taita Taveta, Mombasa, Lamu, Narok na Kajiado. Tukajiunge na wakuria, wadigo na maasai wenzetu Tz kwenye bara letu mpya la New Afrika tuwaache mkizinguana huko Kenya yenu ya kaskazini. [emoji1]
Hahahahah but nahisi hiyo ni process ya miaka mingi kidogo... Saa mtuage afu watanzania mtatuachia mtani gani jamani... Najua hua tunatoana jasho humu but haimaanishi hatuwapendi nyie ni majirani ambao kuna vitu tunafuata toka kwenu na kuna vitu wakenya wanajifunza tz so kiukwel hamna Kenya bila tz na hakuna tz bila Kenya ...we love u guysKumbukeni kwamba sehemu hizo hizo za Suswa, Narok County kwenye hiyo barabara ya Mai Mahiu- Naivasha ndio kuliibuka mwanya mkubwa mwaka jana. Wanajeolojia wanasema mwanya huo utakuja kuigawanisha nchi ya Kenya na bara la Afrika mara mbili.Tetemeko lingine la ardhi likija wenzenu sisi tutawaaga, na masaibu yenu mengi, tuanzishe bara letu jipya la New Afrika! 😀
Shukuru mungu stadium haikuanguka,kuna countries wao hupata earthquakes mbaya sana mpaka zinangusha buildings kubwaHili tetemeko nami nililisikia sekunde kadhaa, Huo wakati lilipokuwa linapita ndio wakati mechi kati ya Taifa star na Uganda ikiendelea.
Nikiwa nipo Arusha.
Sent using Jamii Forums mobile app