Tetemeko kubwa laikumba Yanga, timu kwenda Zambia kwa treni

Tetemeko kubwa laikumba Yanga, timu kwenda Zambia kwa treni

Katika ile hali isiyotarajiwa, team pendwa wenyewe wakiita timu ya wananchi wamekutwa na tetemeko kubwa la kiuchumi kwa kuwa na hali mbaya ya kifedha.

Kutokana na utata huo uongozi wa juu wa timu hyo umeamua kusafirisha timu hyo kwenda nchini Zambia kumenyana na zanaco fc ya nchini humo kwa njia ya treni kupitia reli ya tazara had ktk kampilimposhi,

Mmoja wa kiongozi wa juu alionekana maeneo ya station ya tazara kwa ajili ya shughuli za booking na kuhitaji kujua taratibu za usafiri hyo

Alipoulizwa na mnyetishaji wetu kuwa kwnn wameamua kutumia usafiri huo alijibu kuwa wameamua kutumia usafiri huo kama njia rahis ya kuwawezesha kufika Zambia kwan wakiondoka alhamis ijumaa watakuwa Zambia, akaendelea pia kudai kuwa kocha ndo kashauri hvyo.

My take:
Ukisikia joto la jiwe ndo hili
hamna mkuu. yupo mzee mzima Akilimali atakata pochi la nauli ya ndege bana!
 
hamna mkuu. yupo mzee mzima Akilimali atakata pochi la nauli ya ndege bana!
Mkuu ukiona hvyo elewa kuwa sasa HV maji ya mustach, hali imeshakuwa ngumu, wachezaji hawajalipwa miazi minne sasa tumeingia wa tano
 
Tulikumbatia utumwa/ombaomba na kuukubali na haya yanaweza kuwa matokeo.
Mbona TP Mazembe bosi wao ana matatizo na yuko uhamishoni lakini timu inaendelea? Tumeshindwa kuona nguvu ya brands za timu zetu na kutengeneza structures za cash flow na matokeo yake tutaenda kuwaomba hata house keepers wa so called matajiri hata kwa tickets wakati juzi tu timu ilicheza big match ambayo kama ingelikuwa kwa wenzetu sasa hivi kwa juzi tu angalau wallets zingecheka na US $100m
 
Yanga imeanza kupanda ndege kabla wewe na Manji hamjazaliwa
 
Manchester united wenyewe huwa wanapanda train, itakuwa Yanga. Mabashite kumbe mko wengi eeh.

article-2435012-0C4889A900000578-1_964x681.jpg
manchester-united-travel-to-london-pic-getty-202353451.jpg
 
Hili ndilo tatizo la timu kuendeshwa na ma-SugarDaddy kama Manji; mambo yakimwendea kombo anataka na timu iende kombo. Ile mechi ya simba inaonekana dhahiri wachezaji hawakuwa na motisha wala molari ya kushinda kisa sugardady anasakamwa na serikali. Mbaya sana hii. Lazima timu zetu ziendeshwe kioganaizesheni, sio kwa kutumia masugardady.
 
Ndio balaa lakutegemea mtu mmoja siku akifa tu balaaa linaanza Taasisi uchwara
 
Back
Top Bottom