Sasa ni wazi kuwa iliyokuwa kampuni ya Celtel, ikawa zain na sasa airtel imeogewa kwa kujibadilisha majina. siku si nyingi itakuwa rasmi chini ya makaburu hivyo kuitwa Orange Tanzania. chanzo cha kuaminika kinachofanya ndani ya company hiyo kimedokeza wafanyakaz wanajiandaa kimawazo kubadilika na kuzoea "orange Tanzania" kwa usalama wake jina linahifadhiwa
Uhuni huu sasa. SOON TUTASIKIA IKIITWA BUJIBUJITEL
Hizo si biashara kama biashara nyingine? sioni cha ajabu, hapo sheria mpya ya "capital gain" iko upande wetu, kama imeuzwa, lakini inawezeekaana tu kuwa wanachukuwa "franchise" ili wafanyiwe menejimenti na orange kwani ni wazoefu zaidi wa Africa.
Sioni ubaya wowote.
Huu ni mkakati wanaouendeleza wa kukwepa kulipa kodi,
Nasikia wawekezaji hupewa miaka mitano ya majaribio bila kulipa kodi, ila miaka mitano ikiisha ndo wanaanza kulipa kodi.
Sasa kinachoonekana hapa ni kukwepa kulipa kodi na kubadili jina wakijidai wamefilisika na kumuuzia kampuni mtu mwingine.
Hata BOFLO wa JF alibadili jina na wala hamkushangaa, itakuwa hao...Dah haya no wonder why Tanzania is still poor.
Tuanze na Serena ishabadilishwa majina kibao.
Kilimanjaro kempsk sa hii inaitwa Hyat regency (kwa maandish madogo) THE KILIMANJARO hapo hawajabilisha maana ni ujanja tu huo.
Airtel.. ilianza kama celtel ikaja zain
tuje tigo. buzz mobitel
fly 540
sasa ni fastjet.
Hao wote kila wakibadilisha tunawapa tax holiday almost 5 years eti wajaribu biashara kama wenzao wameshindwa si waweke biashara nyingine hivi tutakua wajinga mpaka lini kuvumilia hii hali? si wazungu wanatucheka huu mradi ushakuwa wa wachache sasa.
Hizo si biashara kama
biashara nyingine? sioni cha ajabu, hapo sheria mpya ya "capital gain"
iko upande wetu, kama imeuzwa, lakini inawezeekaana tu kuwa wanachukuwa
"franchise" ili wafanyiwe menejimenti na orange kwani ni wazoefu zaidi
wa Africa.
Sioni ubaya wowote.
Capital gain? je, kama imeuzwa kwa "hasara"...