Sasa ni wazi kuwa iliyokuwa kampuni ya Celtel, ikawa zain na sasa airtel imeogewa kwa kujibadilisha majina. siku si nyingi itakuwa rasmi chini ya makaburu hivyo kuitwa Orange Tanzania. chanzo cha kuaminika kinachofanya ndani ya company hiyo kimedokeza wafanyakaz wanajiandaa kimawazo kubadilika na kuzoea "orange Tanzania" kwa usalama wake jina linahifadhiwa