Tetesi: Babu Seya na mwanae wameachiwa huru na mahakama jana?

Tetesi: Babu Seya na mwanae wameachiwa huru na mahakama jana?

Monyiaichi

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
1,826
Reaction score
508
Wana jamii mi nimesikia tetesi hizi, je zina ukweli wowote? Na kama zina ukweli, usiri wa nini?

Source: friend sms
 
Hukumu ya rufaa yao ni October 30
 
hivi habari kama hii ingekuwa kweli na imetokea toka jana leo hii sidhani kama ungekuja kuiulizia hapa tungefunika gazetu la Ufoo Saro tungeamia kwa babu seya!!
 
wantoka mwakani juni ama july,kale n kamchezo kalichezwa,c unajua madhara ya ...vya....wakub...wa
 
namwombea atoke huko lupago,maana unakufa hata kwa mawazo
 
namwombea atoke huko lupago,maana unakufa hata kwa mawazo

Akitoka watoto wetu watashindwa kwenda kwenda shule,maana atawararua kinyume na maumbele.Hafai kwenye jamii huyu,bora afie huko huko.
 
una hakika na unachokinena.............

Mie nilikuwa mmoja wa watu walioakuwa wakilaani sana kufungwa kwa babu seya na wanae, nilipokutana na mtu ambaye mtoto wa rafiki yake ni mmoja ya wale watoto walioharibiwa, akanielezea jinsi alivyofahawamu namna ya watoto wale walivyovurugwa huko nyuma nilibaki speechless na kushindwa kujua nimuamini nani. Ni Mungu pekee na akina Babu Seya wenyewe ndio wanaojua ukweli wa hili sakata
.
 
Mie nilikuwa mmoja wa watu walioakuwa wakilaani sana kufungwa kwa babu seya na wanae, nilipokutana na mtu ambaye mtoto wa rafiki yake ni mmoja ya wale watoto walioharibiwa, akanielezea jinsi alivyofahawamu namna ya watoto wale walivyovurugwa huko nyuma nilibaki speechless na kushindwa kujua nimuamini nani. Ni Mungu pekee na akina Babu Seya wenyewe ndio wanaojua ukweli wa hili sakata
.

Kila mtu huwa anasema yake.......kuna stori tena nilihadithia ya baadhi ya hao watoto huko Sinza

iko very awkward na situation ya kesi...usemacho ni kweli kuwa Ukweli wanaujua akinaa babu seya wenyewe

na mngu wao ...maana ni full utata
 
Kama ungelikua na mwanao au nduguyo kafanyiwa uchafu Ile ndio ungeamini kweli wamefanya sio?
 
Back
Top Bottom