Tetesi Bakhresa kuhamia Uganda

Bakhresa amefungua Kiwanda Uganda siku nyingi tu. Nadhani tangu enzi za Alhaji Mwinyi.
 
SS Bakhressa ni mzawa Mzalendo na analipenda Taifa lake huko UG MLW RWD BUR anatanua masilahi yake tu...
 
CRDB nao wamefungua branch Burundi na Hong kong. Mohamed Dewji ne anafanya biashara mpaka ethiopia, msumbiji. Wanajitanua tu kibiashara kitu ambacho ni kizuri na cha kujivunia kama watanzania
 
Ina maana kuna kitu kinasumbua kwa sasa mpaka wafanyabiashara kwa sasa watoke nje zaidi kuliko kuwekeza tz.
 


Kama kuhama kwake ni kwa sababu ya kukwepa kodi na aende tu tena mwambie safari njema!
 
CRDB nao wamefungua branch Burundi na Hong kong. Mohamed Dewji ne anafanya biashara mpaka ethiopia, msumbiji. Wanajitanua tu kibiashara kitu ambacho ni kizuri na cha kujivunia kama watanzania


Asante sikuwa na uelewa
 
ni tetesi inawezekana hazina ukweli wowote ndani yake
 
CRDB nao wamefungua branch Burundi na Hong kong. Mohamed Dewji ne anafanya biashara mpaka ethiopia, msumbiji. Wanajitanua tu kibiashara kitu ambacho ni kizuri na cha kujivunia kama watanzania
Mtanzania yupi, Bhakresa, ni mtanzania au Mgeni mtanzania
 
Ahamie tu, Tanzania ya leo hatutaki wafanya biashara wakwepa kodi. Ni bora tubakie na wafanya biashara wakubwa wachache kuliko kuwa na wafanya biashara wasioitakia nchi mema. Kwa utajiri alionao na makontena yaluyopitishwa bila kulipiwa kodi kupitia ICD zake ingekuwa China angefilisiwa.
 
Chuki ndani ya moyo.. Na wala huna ushahidi zaidi ya kukariri tu mambo.
 
Wengi wanakwepa Kodi GSM kakwepa kodi 10 yrs ndo kesi ikafumuka akapunguza wafanyakazi kibaoo Homeshoppingi inaitwa Discount kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…