Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda magogoni ukaf.. r ssWana msimbazi leo mitaa ya jioni ilinikutia kariakoo mitaa ya msimbazi ,nikaona kijiwe cha kahawa cha wanachama wa simba nikaamua niende kujumuika nipate vikombe 3 vya kahawa ili nichangamshe musuli na nguvu ya kuhimili foleni na kurudi nyumbani na pia kahawa ina msaada kuchelewesha bao kwa sie tulio oa na kulinda heshima .
Sasa wakati na kunywa kahawa vikao na maneno yalikuwa yanasemwa mpaka hamu ya kuendelea kunywa kahawa iliniishia .
Kwa niliyoyasikia kama kocha Joseph Omog akibakia simba na Tanzania kwa masaa 18 ijayo nitaenda kutoa haja kubwa mitaa ya magogoni
1.Shomari Kapombe-alisajiliwaMtu wa kungolewa Simba ni aliyesajili wachezaji wafuatao
1. Shomari Kapombe
2. Salumu Mohamed (nduda)
3. John Boko
4. Nicolous Gyan
Hoya marehemu...upo kaburi gani?Wana msimbazi leo mitaa ya jioni ilinikutia kariakoo mitaa ya msimbazi ,nikaona kijiwe cha kahawa cha wanachama wa simba nikaamua niende kujumuika nipate vikombe 3 vya kahawa ili nichangamshe musuli na nguvu ya kuhimili foleni na kurudi nyumbani na pia kahawa ina msaada kuchelewesha bao kwa sie tulio oa na kulinda heshima .
Sasa wakati na kunywa kahawa vikao na maneno yalikuwa yanasemwa mpaka hamu ya kuendelea kunywa kahawa iliniishia .
Kwa niliyoyasikia kama kocha Joseph Omog akibakia simba na Tanzania kwa masaa 18 ijayo nitaenda kutoa haja kubwa mitaa ya magogoni