Mtasubiri anywe sumu mpaka kiama yu mzima kabisa. Wakati mwenzenu anawekeza kwenye vitega uchumi nyie mnawekeza kwa mabinti. All u can get from mabinti ni ukimwi au watoto, nothing more.
Ndiyo confirmed report ni kuwa Chenge ni mzima wa afya na anawatakia wabaya wake mara mbili ya wamtakiayo!... tuna kazi.
Ndiyo confirmed report ni kuwa Chenge ni mzima wa afya na anawatakia wabaya wake mara mbili ya wamtakiayo!... tuna kazi.
Ndiyo confirmed report ni kuwa Chenge ni mzima wa afya na anawatakia wabaya wake mara mbili ya wamtakiayo!... tuna kazi.
wivu ni kidonda kwasababu hamna ndio mwamtatikia mzee chenge mabaya? yupo hai na huyo mbumbavu anayesema kumwekezea mtoto wake wapi? hapendi walala hoi
Today, 02:17 PM
mwafrika wa kike
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Jul 2007
Posts: 4,091
Rep Power: 29
Thanks: 844
Thanked 1,949 Times in 1,103 Posts
Credits: 120,958
Re: breaking news: CHENGE ANYWA SUMU
--------------------------------------------------------------------------------
Habari zinazoingia zinatisha ila so far inaelekea zaidi kwenye matatizo mengine zaidi ya sumu! watch this space!
Wote wawili..Chenge na Karamagi..ni wazima....
Karibu...naona umekaa kama anon lakini kimekushinda umeamua kuregister ili ujibu...mimi ndio nimesema nilikuwa na mpango wa kuwekeza kwa binti yake...in other words nilikuwa pengine bado nina mpango wa kumtongoza binti yake got any problem with that...?
Mtasubiri anywe sumu mpaka kiama yu mzima kabisa. Wakati mwenzenu anawekeza kwenye vitega uchumi nyie mnawekeza kwa mabinti. All u can get from mabinti ni ukimwi au watoto, nothing more.
Angekuwa amewekwa rumande chini ya ulinzi mkali hili lisingetokea. Tuombeni mungu apone ili aseme ufisadi wote alioufanya yeye na akina Mkapa katika awamu ya tatu na alioufanya katika awamu ya nne. Inasemekana mkewe pia ana bank account nchi za nje.
Angekuwa amewekwa rumande chini ya ulinzi mkali hili lisingetokea. Tuombeni mungu apone ili aseme ufisadi wote alioufanya yeye na akina Mkapa katika awamu ya tatu na alioufanya katika awamu ya nne. Inasemekana mkewe pia ana bank account nchi za nje.
Yaani hapa imebidi nicheke tu!
Hivi watanzania mtaondokana lini na dhana ya umaskini? mnazusha maneno tu, mbona huyu jamaa yuko online nyie mnaosema kazima simu kulikoni? hivi mwanasheria wa havard anaweza kunywa sumu kweli? come on lets be realistic. Kujiuzulu sio mwisho wa ulimwengu ana mengi ya kufanya,watanzania amkeni acheni kupotoshwa kuwa sisi ni maskini si kweli kabisa pigeni vita umaskini. Hata maandiko matakatifu yanapiga vita umaskini
..just coincidence ..namimi kuna tetesi za ajabu nimezipata...sijapenda kuandika ni nini..naamini atatokea mtu anaweza kuwa na taarifa za uhakika zaidi miongoni ,mwetu..
..ila kama ni hivyo ..hali inatisha..ndio maana namimi nimepost thread imeingia na hii pamoja ..nauliza..karamagi??..chenge??