Tetesi : CHENGE ANYWA SUMU??!

Tetesi : CHENGE ANYWA SUMU??!

Status
Not open for further replies.
Yapi hayo fanya kazi kaka. Soma na maandiko matakatifu wekeza maana hata kale kadogo kana manufaa. Tatizo letu ni kuwekeza kwenye vimwana kaka huko hakuna faida ndugu yangu. wenzenu wakiinuka mnadai mafisadi, mtaishia maneno tu badala ya kufanya kazi za maendeleo

Fausta,

Nilikwishasoma maandiko matakatifu siku nyingi sana mpaka nikawa na idea ya kuishi Cyber Village baada ya kuona siwezi kuingia katika mfumo.

Pili wewe hunifahamu mimi kama ni mtu wa aina gani lakini nakuhakikishia kwamba mimi ni mtu mwenye heshima zangu na ninaheshimiwa kwa ujuzi na maarifa yangu na kipato huku Cyber Village hakinipigi chenga, kwani ninakipata kihalali kwa utaalam wangu. Usione nimesema occupation hio ukadhani ninakudhihaki.

Nikutanie kidogo, siku moja nilijiuliza hivi huku Cyber Village siwezi kuokota hata senti ishirini tu? Lakini ukifanza kazi kwa bidii basi unakuwa "rewarded".

Lakini hawa watu achana nao kabisa wameendelea na nina wazo la kuwashauri wana JF wote tujenge Cyber Village yetu Tanzania na iwe na kila kitu tunachohitaji.

Mimi napenda majadiliano yenye kujenga na sio kubomoa, wewe hupangi hoja unakuja nazo zikiwa hazijakamilika, lakini karibu hapa jamvini hiki na usije ukalidharau kabisa.

NB:

Halafu nani amekupa wazo kwamba sisi ni wawekezaji kwenye vimwana?
 
Miaka 30ya utumishi sio michache we kufa tu na umaskini on pretence thatu will rather die poor kuliko kuwaibia watanzania. Sio kila mtu ni mwizi amka kaka acha kusingizia umaskini wako katika mafanikio ya wenzako[/QUOTE

tafadhali waombe radhi watu wenye uzalendo na nci yao, kuna walimu wamefundisha zaidi ya hiyo miaka 30 lakini ni maskini mbaya, kuna wauguzi wamelitumikia taifa muda mrefu sana lakini bado maskini, kuna makarani, wanajeshi, n.k, walijitoa kwa taifa lakini bado ni maskini, kutokana na watu kutafuna mapesa kana kwamba wao tu ndo wanatakiwa waishi!!kwa hiyo wewe unawalaumu watumishi kama hawa si ndiyo watetee, lakini, i have a dream, soon and very soon, the silent majority will take action na sjui mtajificha wapi.
Ndio maana hata vidole alivyoviumba mwenyezi mungu havilingani. Tofautisha kazi za watu ndugu yangu nenda kasome tena ili ujue hata hiyo tofauti.
THE HIGHER YOU CLIMB THE FURTHER YOU FALL

Wewe labda una yako ndugu yangu. Hivi kweli kwa mfano unaweza kulinganisha maisha ya meneja na messenger? kuwa hata kama wameajiriwa siku moja basi maisha yao yatakua sawa. Kwa nini mnaleta kufuru. Ndio maana kukawa na mgawanyo wa kazi. Hivyo please usiniambie nitake radhi kwani ni kama unajifanya huelewi lakini unaelewa. Huyu ni graduate wa havard unategemea kuwa atakuwa sawa na mwalimu? tafadhali ndugu yangu acha kebehi. Mkishindwa maisha mnasingizia wengine. Komaeni watanzania
 
I give up!!!
ugumu wa maisha unatokana na nini? Kuna hard working Tanzanians wanaamka alfajiri kila siku work hard wanalipa kodi guess what badala ya hiyo kodi kuleta maendeleo inaishia kwenye mifuko ya wachache...tukiulzia unasema hatutaki kufanya kazi? You have just insulted the hard working Tanzanians SHAME ON YOU!!!!

ni kweli, na amewatusi vibaya.yaani mi watu wengine siwaelewi kabisa.unateteaje something so open like this!! sasa watu wasome maandiko, watakula maandiko!! watu wanafanya kazi kwa bidii sana, jasho lao linaliwa na wachache anaowatetea huyo nani sjui hapo juu.
 
Mkishindwa maisha mnasingizia wengine. Komaeni watanzania

Kwa hio una mawazo kwamba wale wote waliopo hapa jamvini, wameshindwa maisha. Nani kakudanganya hivo Fausta?
 
Shida yetu ni kutotaka kufanya kazi maisha yakiwa magumu tunatafuta mchawi. poleni watanzania kama kweli hii ndio dhana. jakaya ana kazi

acha kudhihaki watu wewee!!

umasikini wa watanzania sio wa kujitakia,wameletewa..,over a long period of time.na viongozi wasiojali utu na maslahi ya taifa.

i would say an average Tanzanian is overworked.have you ever seen how much farmers,fishermen's,machingas struggle in their daily basis?you probably haven't if you don't know that,then don't ask why or how..,since you have no clue.

we are poor as a nation because of guys like you and co.you just don't feel that Tanzanians deserve a better present and future.you make life hard for people,then mnaita watu wavivu. aaaaaaagh.
 
Fausta,

Nilikwishasoma maandiko matakatifu siku nyingi sana mpaka nikawa na idea ya kuishi Cyber Village baada ya kuona siwezi kuingia katika mfumo.

Pili wewe hunifahamu mimi kama ni mtu wa aina gani lakini nakuhakikishia kwamba mimi ni mtu mwenye heshima zangu na ninaheshimiwa kwa ujuzi na maarifa yangu na kipato huku Cyber Village hakinipigi chenga, kwani ninakipata kihalali kwa utaalam wangu. Usione nimesema occupation hio ukadhani ninakudhihaki.

Nikutanie kidogo, siku moja nilijiuliza hivi huku Cyber Village siwezi kuokota hata senti ishirini tu? Lakini ukifanza kazi kwa bidii basi unakuwa "rewarded".


Mimi napenda majadiliano yenye kujenga na sio kubomoa, wewe hupangi hoja unakuja nazo zikiwa hazijakamilika, lakini karibu hapa jamvini hiki na usije ukalidharau kabisa.

Sina haja ya kukufahamu kwani hili si muhimu hapa. Cha muhimu ni kuangalia dunia inavyoenda ndugu yangu vinginevyo mtatafutana mchawi wakati wenzenu wanasonga mbele. Ndugu yangu mimi ni mtanzania pia ambaye kwa kile kidogo nilichokopata nimekiwekeza sahihi na ndio maana napata kichefuchefu ninapoona watu wanachonga sana na kutakia wenzao mabaya hata kudiriki kusema wamekunywa sumu. Hakuna mtu aliyezaliwa maskini bali tunauendeleza sisi ukiwa na roho ya kimaskini hata Mungu hufunga milango yako. Hebu elekezeni fikra za watanzania katika maendeleo badala ya maneno tu ambayo wala hayawasaidii.
 
Wewe labda una yako ndugu yangu. Hivi kweli kwa mfano unaweza kulinganisha maisha ya meneja na messenger? kuwa hata kama wameajiriwa siku moja basi maisha yao yatakua sawa. Kwa nini mnaleta kufuru. Ndio maana kukawa na mgawanyo wa kazi. Hivyo please usiniambie nitake radhi kwani ni kama unajifanya huelewi lakini unaelewa. Huyu ni graduate wa havard unategemea kuwa atakuwa sawa na mwalimu? tafadhali ndugu yangu acha kebehi. Mkishindwa maisha mnasingizia wengine. Komaeni watanzania

Tafadhali onyesha maturity! nadhani we ni mtu mzima usiongee kitoto.mishahara ya wafanyakazi wa serikali ni kiasi gani kumfanya chenge awe tajiri namna hiyo!!!???hao mawaziri wanapitwa na vijana wadogo tu waliopo kwenye private sector.Kwanza, hivi unajua huyo waziri wako uleng'ang'ania harvard graduate alikua analipwa kiasi gani kwa mwezi? au unapayuka tu

Niliorodhesha hao watumishi ili uona importance ya watumishi wengine kwa taifa ambao still ni maskini, au unasoma juu juu!!
 
Wewe labda una yako ndugu yangu. Hivi kweli kwa mfano unaweza kulinganisha maisha ya meneja na messenger? kuwa hata kama wameajiriwa siku moja basi maisha yao yatakua sawa. Kwa nini mnaleta kufuru. Ndio maana kukawa na mgawanyo wa kazi. Hivyo please usiniambie nitake radhi kwani ni kama unajifanya huelewi lakini unaelewa. Huyu ni graduate wa havard unategemea kuwa atakuwa sawa na mwalimu? tafadhali ndugu yangu acha kebehi. Mkishindwa maisha mnasingizia wengine. Komaeni watanzania

graduate wa Havard aliyeajiriwa na serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ hawezi miliki fedha zote zile wewe.acha kutufanya sie mabwege.

and remember hizo fedha kazipata in near future(something smells fishy)

we kugraduate Havard ndio umeona Ticket to richness??then u r soo saddening
 
Sina haja ya kukufahamu kwani hili si muhimu hapa. Cha muhimu ni kuangalia dunia inavyoenda ndugu yangu vinginevyo mtatafutana mchawi wakati wenzenu wanasonga mbele. Ndugu yangu mimi ni mtanzania pia ambaye kwa kile kidogo nilichokopata nimekiwekeza sahihi na ndio maana napata kichefuchefu ninapoona watu wanachonga sana na kutakia wenzao mabaya hata kudiriki kusema wamekunywa sumu. Hakuna mtu aliyezaliwa maskini bali tunauendeleza sisi ukiwa na roho ya kimaskini hata Mungu hufunga milango yako. Hebu elekezeni fikra za watanzania katika maendeleo badala ya maneno tu ambayo wala hayawasaidii.


Nimekuelewa,

Hata hivo hii thread ipo ndani ya NYEPESI/TETESI.

Have a nice day!
 
jamani we need him alive lazima haenda segerea huyo hata kama bp is high or kunywa sumu or kapewa lakini bado we need him mr vijisenti alive
 
acha kudhihaki watu wewee!!

umasikini wa watanzania sio wa kujitakia,wameletewa..,over a long period of time.na viongozi wasiojali utu na maslahi ya taifa.

i would say an average Tanzanian is overworked.have you ever seen how much farmers,fishermen's,machingas struggle in their daily basis?you probably haven't if you don't know that,then don't ask why or how..,since you have no clue.

we are poor as a nation because of guys like you and co.you just don't feel that Tanzanians deserve a better present and future.you make life hard for people,then mnaita watu wavivu. aaaaaaagh.

You can sing that song again and again but your poverty wont go away unless you agree to change your mind set about life. Mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe. Tanzanians have to accept that there is no free lunch and @ one of us has to work hard, be creative and create wealth cos we can not share poverty. we have travelled that route before ie sharing poverty and it never worked as the late Deng used to say we have to smash the communist pot and create wealth for our people and that will only happen if we have a robust middle class in tanzania.
 
Ndio tatizo la wizi, huwezi kuwa makini hata siku moja. Na tatizo linakuja zaidi pale mtu anapoanza kuiba huanza na kuiba kidogo, the anasikilizia. Akiona hakuna aliyegundua basi anaendelea na kuiba kikubwa zaidi without taking any precautions and thinking that all others are cowards and him managing deals he is brave. Ndo hayo sasa yanawatokea puani, iwe kanyweshwa au kanywa anajua alipokosea anataka kuchukua tactic ya Mkwawa.

Hivi mtu akiiba kweli atapeleka fedha hizo bank? Yu mzima wala hajanywa sumu mnazusha tu tuwaulize kwa nini? mnaogopa nini kusubiri majibu SFO mnakuwe nyie waendesha mashtaka, mawakali majudge na walinzi wa gereza?
 
Hivi mtu akiiba kweli atapeleka fedha hizo bank? Yu mzima wala hajanywa sumu mnazusha tu tuwaulize kwa nini? mnaogopa nini kusubiri majibu SFO mnakuwe nyie waendesha mashtaka, mawakali majudge na walinzi wa gereza?

kwa nini asipeleke bank wakati yeye ni professional na kaiba professionally. Unajua wizi wake ulipokufikisha ndio maana umekuwa mkali namna hiyo, BTW ni fisadi na ni mwizi. Hata kama hajanywa sumu lkn alichokifanya kinamsumbua nafsini mwake na hata hizo pesa za wizi hana raha nazo. Mbona Mengi ni tajiri lakini hakuna anayemsema. Kama huyo vijisent kapata pesa zake halali kwa utumishi wake serikalini miaka 30, what about kina Kawawa, Warioba et al? kwa nini na wenyewe sio matajiri?
 
Wakati mwingine naona bora wafe tu kwa kuwa hata wakiishi hawatusaidii chochote,sana sana wataendelea kutuibia tu. Wataishia kukimbia na kujificha tusipopajua au wataamua kugeuka mabubu. Tulimuombea Balali hapa asife ili atuambie ukweli but up to now he has been an absolutely dissapointment. Mkapa is another waste of space! Na hawa wote kwa taarifa yenu hata tukienda mahakamni watashinda, bora wauane wenyewe kwa wenyewe ili tuchukue mali zetu kiulaini.


Mali ambayo sio yako wala ya baba yako utaipataje kiulani hiyo? tumieni akili badala ya midomo kufikiri. Tatizo letu ni kufikiri kwa maneno badala ya akili ambayo mwenyezi mungu ametupa ili kututofautisha na wanyama
 
Au iondolewe kabisa kwanza, maana mtu anapoiona anadhani ni kweli na inastua mno. Kila ninapoona post mpya nakimbilia kufungua nikidhani kuna uthibitisho lakini hola! Alternatively, zipitishwe kwa moderator akiona kuna chembe ya ukweli atuwekee.

Tulishawahi kuambiwa hapa mtu fulani kafa basi tukaanza kumimina salamu za rambirambi na kuombea marehemu, kumbe haikuwa kweli, watu tukaumbuka wazima wazima! Chonde wakuu!

Na wataumbuka kweli maana chenge yu mzima na anakunywa bia yake baridi. Wanaosubiri ajiuue watangoja kama fisi anavyosubiri mkono wa binadamu. Huu ndio ufisadi wa kuwaua wenzenu kwa manufaa yenu mtajinyonga siku zi zenu mumwache chenge hai.,
 
long story made short ni kwamba there is no way mfanyakazi muadilifu wa serikali ya nchi iliyopo top ten ya umasikini zaidi duniani,akamiliki $1,ooo,ooo,un-attended!!that is just soo naive even to consider.

ameziiba hizo pesa,be it through RADA au through mikataba mingine.HE and ONLY himself knows the truth.

Guts za kuiba that much from such poor nation as TZ clearly state that the guy is not the SUICIDE type!!He is soo selfish that killing himself is unthinkable!!

UNLESS U tell me he has made a deal with the devil,to stay rich forever in the after life!

There is no life after death. U just have to study and understand the character of the person ur talking about. Thats what most of us are missing out. U can not go to any of the IVY league institutions if ur a dumb bell
 
Na wataumbuka kweli maana chenge yu mzima na anakunywa bia yake baridi. Wanaosubiri ajiuue watangoja kama fisi anavyosubiri mkono wa binadamu. Huu ndio ufisadi wa kuwaua wenzenu kwa manufaa yenu mtajinyonga siku zi zenu mumwache chenge hai.,

Ndio maana muda mwingine namsapoti mwafrika wa kike akiwatia tumbo moto watu kama huyu. Kelele nyingi hadi wanaboa?
 
There is no life after death. U just have to study and understand the character of the person ur talking about. Thats what most of us are missing out. U can not go to any of the IVY league institutions if ur a dumb bell

Take a break dayuuum... unajaza bandwidth na utumbo...alafu swallow a chill pill shawty!!!! Hot Dayuuuum!!!!
 
graduate wa Havard aliyeajiriwa na serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ hawezi miliki fedha zote zile wewe.acha kutufanya sie mabwege.

and remember hizo fedha kazipata in near future(something smells fishy)

we kugraduate Havard ndio umeona Ticket to richness??then u r soo saddening
why dont you try ur own future through havard?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom