Gusa uondoka kuzimu huyo ndi akilimaliInashangaza sana kwamba hata hati za jengo la Yanga anazo huyu mzee siyo Katibu wala Mhasibu wa Yanga.
Kwanini yeye? Kuna kipindi mzee mmoja wa Yanga alidai anazo, wakati wanahangaikia kibali cha Ujenzi wa uwanja.Hati zote za club ya yanga anazo bi Shadia Karume..
Wazee hawa wanatakiwa wabadilike waende na wakati.Mali zote za umma zitarud kwa wahusika akili ufukara ck zake zahesabika,hao ndo yanga bomba wanaishi kwa viingilio getini
Wa mkoaniAzalishe kwanza saruji ya kutosha na asambaze kwa bei nafuu kama alivyo ahidi. Hapa mwanza hakuna kabisa hiyo saruji yake na matokeo yake tunapigwa mpaka 18,000/= kwenye kampuni zingine. Sasa mbwembwe zake za utajiri asambaze kwanza cementi mapka watu waichoke ndio aingie kwenye anasa kama mpira
Muda wao karibu unaisha. Yanga ungekuwa imepokewa mawazo ya Francis Kifukwe ungekuwa mbali sana.Gusa uondoka kuzimu huyo ndi akilimali
Wewe bila shaka msimbaz.Azalishe kwanza saruji ya kutosha na asambaze kwa bei nafuu kama alivyo ahidi. Hapa mwanza hakuna kabisa hiyo saruji yake na matokeo yake tunapigwa mpaka 18,000/= kwenye kampuni zingine. Sasa mbwembwe zake za utajiri asambaze kwanza cementi mapka watu waichoke ndio aingie kwenye anasa kama mpira
Tatizo ni kuwa na kamati ya wazeeMuda wao karibu unaisha. Yanga ungekuwa imepokewa mawazo ya Francis Kifukwe ungekuwa mbali sana.
Haufanyi kazi???? Muondoweni muone kazi yake.Hakuna lolote,uchawi wa mentali haufanyi kazi.
Umedanganywa nawe ukadanganyika kuwa walikuwa wanasema maji, hahahaHayo ndo mambo ya vita vya maji maji na bunduki za mzungu.HOFU haina nafas
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Moja ya investment kaka,unamshanga dangote mbona humshangai bill gate kawekeza kwenye mihogo mtwara
Bullshiit! Yaani Dangote aache kufanya Bussiness zake, eti aje kuinunua kandambili!. This is ridiculous. Kwa nini asiinunue Enyimba ya kwao? Kwa nini asiinunue TP Mazembe inayocheza huko duniani? Au kwa nini asiinunue Simba inayojulikana Africa? Timu ya Kandambili level yao ni kunnuliwa na akina Mzee Akilimali bana, Dangote level yake Arsenal BVB Dortmund simba Enyimba. Yeboyebo acheni Hizo, Juzi tu nimewaona hapa Morogoro mnapata stafstahi ya uji bwa ulezi na mihogo hapa Msamvu halafu leo mnajitia matawi ya Juu?kuna nyepesi nyepesi kwamba Billionea Aliko Dangote kuinunua club ya Dar young African, na hii inasemekana imetokana na ushawiwishi wa mwanachama na shabiki kindakindaki wa watoto wa jangwan yaan mzee wa msoga.Hii itakua habari njema sana kwa fans wa Dar es salaam Young African