TETESI: Dangote kuinunua Yanga

TETESI: Dangote kuinunua Yanga

Ngoja niongee na babu yangu akili mali alegeze vyuma maana hali si hali.


Akili za yule mzee anaweza kukataa pia
Yule mpinzan wa kila kitu,ckhz haji clubun maana hana nauli,vyumaa vimemkazia atar
 
Mali zote za umma zitarud kwa wahusika akili ufukara ck zake zahesabika,hao ndo yanga bomba wanaishi kwa viingilio getini
Wazee hawa wanatakiwa wabadilike waende na wakati.
 
Azalishe kwanza saruji ya kutosha na asambaze kwa bei nafuu kama alivyo ahidi. Hapa mwanza hakuna kabisa hiyo saruji yake na matokeo yake tunapigwa mpaka 18,000/= kwenye kampuni zingine. Sasa mbwembwe zake za utajiri asambaze kwanza cementi mapka watu waichoke ndio aingie kwenye anasa kama mpira
Wa mkoani
 
Azalishe kwanza saruji ya kutosha na asambaze kwa bei nafuu kama alivyo ahidi. Hapa mwanza hakuna kabisa hiyo saruji yake na matokeo yake tunapigwa mpaka 18,000/= kwenye kampuni zingine. Sasa mbwembwe zake za utajiri asambaze kwanza cementi mapka watu waichoke ndio aingie kwenye anasa kama mpira
Wewe bila shaka msimbaz.
 
can't imagine siku Fulani tunasikia "kesho ndio kesho asiye mwana aeleke jiweee. kesho ni simba na dangote fc" natamani niwepo
 
Mbona nasikia D.Shika ndio anamalizia taratibu za kisheria akabidhiwe timu yake
 
kuna nyepesi nyepesi kwamba Billionea Aliko Dangote kuinunua club ya Dar young African, na hii inasemekana imetokana na ushawiwishi wa mwanachama na shabiki kindakindaki wa watoto wa jangwan yaan mzee wa msoga.Hii itakua habari njema sana kwa fans wa Dar es salaam Young African
Bullshiit! Yaani Dangote aache kufanya Bussiness zake, eti aje kuinunua kandambili!. This is ridiculous. Kwa nini asiinunue Enyimba ya kwao? Kwa nini asiinunue TP Mazembe inayocheza huko duniani? Au kwa nini asiinunue Simba inayojulikana Africa? Timu ya Kandambili level yao ni kunnuliwa na akina Mzee Akilimali bana, Dangote level yake Arsenal BVB Dortmund simba Enyimba. Yeboyebo acheni Hizo, Juzi tu nimewaona hapa Morogoro mnapata stafstahi ya uji bwa ulezi na mihogo hapa Msamvu halafu leo mnajitia matawi ya Juu?
 
Back
Top Bottom