Habari ya tangu wiki iliyopita hiyo nadhani!Labda kumnanga sana kulimpa baba wa watu presha au waliendeana BwAGAMOYO!RIP....
Mbaya kweli...usiku akilala unamwekea mikono shingomi alafu unarudisha..siku nyingine unamshikia kisu alafu ukishtuka unaanza kulia!Wengine hua wanabaki kuwakomoa nyumba ndogo ila sio kama mioyo yao iko pale!Wanaume kuweni waangalifu...BWAGAMOYO kufanya nini na mikono na sumu zipo Lizzy? ndo maana naogopa sana roho za wanawake wanaoteseka na kujidai wanavumilia....wanalolipanga ajua Mungu.......RIP
Kuna mama alienda kumfumania mumewe na camera za clouds fm sasa mume amekufa!What's this all about?
Alikuwa anaumwa ini wala hajafanyiwa baya lolote RIP Majid na makumbusho
Kuna mama alienda kumfumania mumewe na camera za clouds fm sasa mume amekufa!
Nawajua sana sana kabla ya matatizo alikuwa anaumwa tayari na alikuwa yupo kwenye treatment mkewe Dr alimwambia aache mapombe makali na sigara akasema bora tu aendelee kuumwa. Msumbufu sana yule baba we acha tu kadri ungejua yule mama alivyokuwa anteseka nae ungesikia huruma. Pale kwenye ile video si uliona mkono umefunikwa wa yule Salma? ni umevunjikasote hatujui,ajua Mungu aonaye sirini....em soma vitu vinavyosababisha liver failure....!!!
Nawajua sana sana kabla ya matatizo alikuwa anaumwa tayari na alikuwa yupo kwenye treatment mkewe Dr alimwambia aache mapombe makali na sigara akasema bora tu aendelee kuumwa. Msumbufu sana yule baba we acha tu kadri ungejua yule mama alivyokuwa anteseka nae ungesikia huruma. Pale kwenye ile video si uliona mkono umefunikwa wa yule Salma? ni umevunjika
Jamani hiyo video inapatikaneje huko youtube?
Mbaya kweli...usiku akilala unamwekea mikono shingomi alafu unarudisha..siku nyingine unamshikia kisu alafu ukishtuka unaanza kulia!Wengine hua wanabaki kuwakomoa nyumba ndogo ila sio kama mioyo yao iko pale!Wanaume kuweni waangalifu...
Lizzy hapo sijakuelewa, fafanua (kama hutajali). Wanaume wawe makini na wake zao au nyumba ndogo?
Nawajua sana sana kabla ya matatizo alikuwa anaumwa tayari na alikuwa yupo kwenye treatment mkewe Dr alimwambia aache mapombe makali na sigara akasema bora tu aendelee kuumwa. Msumbufu sana yule baba we acha tu kadri ungejua yule mama alivyokuwa anteseka nae ungesikia huruma. Pale kwenye ile video si uliona mkono umefunikwa wa yule Salma? ni umevunjika
akili za wamama wa mjini zinaeleweka kabisa....watu wanang'ang'ania yakiwashinda wanafanya makubwa.....that drama was too much!Mbaya kweli...usiku akilala unamwekea mikono shingomi alafu unarudisha..siku nyingine unamshikia kisu alafu ukishtuka unaanza kulia!Wengine hua wanabaki kuwakomoa nyumba ndogo ila sio kama mioyo yao iko pale!Wanaume kuweni waangalifu...