Tetesi - Frank De Boer kutua Everton.

Tetesi - Frank De Boer kutua Everton.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni baada ya Roberto Martinez kufungashiwa virago vyake .

Uvumi umekolezwa zaidi baada ya Frank kuachia kiti cha ukocha Ajax Amsterdam .

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi ndoto ya De Boer ilikuwa kufundisha PREMIER LEAGUE .


Erythrocyte sasa amejitosa rasmi kwenye jukwaa hili , hivyo kaa mkao wa kula kwa habari zaidi .
 
Back
Top Bottom