Huyo Golikipa siyo hitaji la Simba kwa sasa, Simba kwa sasa inataka Mshambuliaji Mahiri mithili ya Hertier Makambo au Makusu au Walter Bwalya au Lusajo. Mbona Viongozi mnatutaka maneno manenoooo. Kwa taarifa yenu kutokana na mwenendo mbovu wa timu Idadi ya mashabiki Uwanjani imekuwa hafifu mnoo.
Iweje Usajili mpya woooote wa akina Bwalya, Morrison, Mugalu, Onyango nk nk wooote hawana namba kwenye First Eleven??? Mnamaanisha nini Viongozi? So paining lkn tambueni kuna Mashabiki tunatoa pessa ili timu iendelee kupata sapoti.