Mwaka huu ni maumivu sana 13 ziko 4 tz nzima tunategemea nn jamani
Wakuu!!leo nilikua najaribu kuangalia matokeo ya hawa wadogo zetu wa kidato cha 6,nimeona kwenye zile shule maarufu kama marian girls,mzumbe,tabora boys,galanos,umbwe,tosamaganga,ilboru nk hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyethubutu kupata ''A''za hayo masomo mawili hapo juu.tatizo ni nin,maswali yalitoka sayari nyingne au ndo ile sera ya ccm ya kupunguza mangwini inatekelezwa kiujanja ili wapate walimu wakutosha?
Ukiona ilboru hakuna tatu basi ujue pepa ilikua soo
Mkuu History zipo:-
Mojawapo hii hapa toka Mpwapwa Sekondari
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%, align: center"]S0138/0551[/TD]
[TD="width: 4%, align: center"]M[/TD]
[TD="width: 22%"]FARIDI ABDALLA
[/TD]
[TD="width: 6%, align: center"]4[/TD]
[TD="width: 4%, align: center"]I[/TD]
[TD="width: 58%, align: center"]G/STUDIES-S HISTORY-A KISWAHILI-A ENGLISH-B[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
shule gani hiyo mkuu,ckubahatka kuiona?
shule gan hyo mkuu,ckubahatka kuiona?
Ukiona ilboru hakuna tatu basi ujue pepa ilikua soo
Kwa nini Ilboru? Hao ndiyo ma genius?
Ukiona ilboru hakuna tatu basi ujue pepa ilikua soo
mkuu me nme dondokea pua nina
phy-E
geo-D
math-D
coz gani naeza pata na mkopo pia???
Ualimu unapata na mkopo pia