Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Watu wa matobora wamevuruga kitaa cha amfibia.. Kumbuka rangi ni zile zile😁 Nyuki hakumbatiwi😂
View attachment 3147658
Kikubwa Msechu ni msanii mkubwa na anafahamika kwa biashara yake ya Samaki migebuka japo huwa anafanyaga kazi maalum kwa S2Kizzy endapo tukio flani muhimu likitokea. Kaka wa ukoo kuna habari gani kwani?Tetesi huanza na minong'ono.. Hiyo minong'ono ikikoma huwa tetesi na tetesi zikikoma huwa breaking news..!
Dunia ya sasa iko uchi kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia.. Dunia haina siri tena!
Unafanya jambo gizani.. Tena giza totoro kabisa lakini unakuja kushangaa jambo hilo linakuja kuwekwa upenuni peupe kwa picha safi kabisa
Kuficha taarifa yoyote kubwa inayoihusu Jamii haisaidii chochote.. Tunaweza kafanya hivyo kwa lengo maalum na sababu maalum lakini kwa dunia hii ya sasa.. Taarifa zinaweza kuvuja zenyewe bila hata kuvujishwa na yoyote yule
Kuna madhara makubwa kwenye taarifa kuvuja zenyewe.. Maana ni sawa na bomba la maji lililopasuka na kuvujisha maji barabarani.. Yale maji hayana mwenyewe.. Yeyote anaweza kuyatumia vyovyote
Taarifa zinazovuja zenyewe hurembwa, hutiwa nakshi na kuongezewa vikolombwezo vya kila aina kulingana na mahitaji ya mlengwa!
Hakuna siri ya mtu moja duniani.. Ni fikra finyu kuruhusu minong'ono itawale kuliko kuweka wazi.. Akili ya binadamu ni kitu kisichozuilika.. Ukiibania taarifa unaiongezea udadisi na mshawasha wa kutaka kujua zaidi.. Kujua kulikoni...
Minong'ono ya Msechu kujiandaa kuingia studio ni uzushi usiofaa kupewa kipaza sauti
Tetesi huanza na minong'ono.. Hiyo minong'ono ikikoma huwa tetesi na tetesi zikikoma huwa breaking news..!
Dunia ya sasa iko uchi kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia.. Dunia haina siri tena!
Unafanya jambo gizani.. Tena giza totoro kabisa lakini unakuja kushangaa jambo hilo linakuja kuwekwa upenuni peupe kwa picha safi kabisa
Kuficha taarifa yoyote kubwa inayoihusu Jamii haisaidii chochote.. Tunaweza kafanya hivyo kwa lengo maalum na sababu maalum lakini kwa dunia hii ya sasa.. Taarifa zinaweza kuvuja zenyewe bila hata kuvujishwa na yoyote yule
Kuna madhara makubwa kwenye taarifa kuvuja zenyewe.. Maana ni sawa na bomba la maji lililopasuka na kuvujisha maji barabarani.. Yale maji hayana mwenyewe.. Yeyote anaweza kuyatumia vyovyote
Taarifa zinazovuja zenyewe hurembwa, hutiwa nakshi na kuongezewa vikolombwezo vya kila aina kulingana na mahitaji ya mlengwa!
Hakuna siri ya mtu moja duniani.. Ni fikra finyu kuruhusu minong'ono itawale kuliko kuweka wazi.. Akili ya binadamu ni kitu kisichozuilika.. Ukiibania taarifa unaiongezea udadisi na mshawasha wa kutaka kujua zaidi.. Kujua kulikoni...
Minong'ono ya Msechu kujiandaa kuingia studio ni uzushi usiofaa kupewa kipaza sauti
Q-BAH kuna maadhimisho ya sanamu lakiniImebidi tu nicheke
Hakuna bwashee ni udini tu,Watu hawazungumzii dini. Wapo na mambo yao mengine. Acha kuleta Taharuki.
Siyo masuala ya tafsiri bali ni integrity yako ni kubwa kuliko utumbo ulioandika leo. Yangeandikwa na akina Erythrocyte tungeelewaNahusika na maandiko yangu sihusiki na tafsiri zako
Nani kamuombea mtu afe kwa ajili tu ya dini yake?Wala sio shida, na sisi ikiwa wakati wa mwenzenu tutahakikisha tunaanzisha harakati humu na kwingineko mpaka inchi isitawalike hii,
Ubaya ubwela
Yaani mnamuombea mtu afe kwa ajili tu ya dini yake? Nyie mtaishi milele?
Kinachosumbua ni dini,hijab shuleni zinawachukiza itakua hijab ikulu!!?Watu hawazungumzii dini. Wapo na mambo yao mengine. Acha kuleta Taharuki.
Ushahidi umo humu humu ndani unaweza kuutafutaNani kamuombea mtu afe kwa ajili tu ya dini yake?
Weka ushahidi hapa.
Hapana, wewe ndiye umesema jambo, wewe ndiye una wajibu wa kuweka ushahidi hapa.Ushahidi umo humu humu ndani unaweza kuutafuta
Kwani nimekuambia mimi ni comedian? Wewe mpaka uwekwe la kati ndiyo ucheke.Hata haichekeshi
Sina wajibu huo, labda unipachike tu kwa kuwa nawe umdini sanaaaaa,Hapana, wewe ndiye umesema jambo, wewe ndiye una wajibu wa kuweka ushahidi hapa.
Vinginevyo ukisema jambo ambalo huwezi kuweka ushahidi wake wewe ni mzushi tu.
Mkuu maisha yako yamekaa kimahakama tu kwenye kila jambo!?..thibitisha,toa ushahidi nk!!..Mara nyingi iso idadi imetajwa hijab ya rais humu, hijab avae mwingine joto asikie kafiri akila nguruww na bia!!Hapana, wewe ndiye umesema jambo, wewe ndiye una wajibu wa kuweka ushahidi hapa.
Vinginevyo ukisema jambo ambalo huwezi kuweka ushahidi wake wewe ni mzushi tu.
Si hivyo unataka kujitahidi kuchekesha lakini hatujacheka.Kwani nimekuambia mimi ni comedian? Unawashwa wewe.