pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Halafu anajidai hana dini huku akiumia kutajwa ukristo na udini waoMkuu maisha yako yamekaa kimahakama tu kwenye kila jambo!?..thibitisha,toa ushahidi nk!!..Mara nyingi iso idadi imetajwa hijab ya rais humu, hijab avae mwingine joto asikie kafiri akila nguruww na bia!!
Kinyonge sana, hebu jikaze kidogoWala sio shida, na sisi ikiwa wakati wa mwenzenu tutahakikisha tunaanzisha harakati humu na kwingineko mpaka inchi isitawalike hii,
Ubaya ubwela
Yaani mnamuombea mtu afe kwa ajili tu ya dini yake? Nyie mtaishi milele?
Wewe ukiwekwa la kati ndiyo unakenuaaaa,choko mbovu wewe.Si hivyo unataka kujitahidi kuchekesha lakini hatujacheka.
Kama unaona kuwashwa ni deal basi endellea kuwashwa, wakukukuna wapo.
Kaachana na ukristo Ila panapokuja uislam na ukristo Tanganyika,Huwa upande wa ukristo,maana alikuzwa akiuchukia uislam,kakuta upogo kwenye ukristo ambao haupo kwenye uislam,Sasa kwa chuki na dharau alizolishwa dhid ya uislam angali mdogo,kaona heri awe mpaganiHalafu anajidai hana dini huku akiumia kutajwa ukristo na udini wao
Yametimia nini??Hatimae yametimia
Vipi umestuka? Umeogopa?Kinyonge sana, hebu jikaze kidogo
Kwani huwa wanawekwa la kati? Hebu tupatie uzoefu, huwa unawekwaje na huwa unajisikiaje? Aise nimeamini kuna watu ni wa siri sana, kumbe Watu mna mauzoefu yenu halafu hata hamjionyeshi wala hamringi.Wewe ukiwekwa la kati ndiyo unakenuaaaa,choko mbovu wewe.
Huyo Bora angekufa tu kwenye ajali aliyopata juziYametimia nini??
Mkuu, ebu soma huu uzi kwa umakini kisha ukasome ule uzi ulio andikwa na GENTAMYCINEYametimia nini??
Usenge wako peleka huko sijadiliani na mashoga kama wewe.Kwani huwa wanawekwa la kati? Hebu tupatie uzoefu, huwa unawekwaje na huwa unajisikiaje? Aise nimeamini kuna ni wa siri sana, kumbe Watu kumbe mna mauzoefu yenu halafu hata hamjionyeshi wala hamringi.
Hii ni chuki ama kuna sehem nikikuosea ama unatamani tu nitoweke..🤔Huyo Bora angekufa tu kwenye ajali aliyopata juzi
Unataka kusema ndo maana ile safari ya kwa field imeahiirishwa?!Nimeingia X kwa Maria Sarungi, habari ni tetesis ya Bi. Mkubwa kuwa magonjwa na kwamba taarifa inafichwa.
Muda utaongea.
Du classmate vipi?!Hii ni chuki ama kuna sehem nikikuosea ama unatamani tu nitoweke..🤔
Kuna member hapa kwa ID ya gallow bird ameandika kwamba "Huyo Bora angekufa tu kwenye ajali aliyopata juzi"Du classmate vipi?!
Onho, Mwenyezi Mungu amponye
🤣🤣🤣 Shida utani wa humu watu uchukulia serious.Kuna member hapa kwa ID ya gallow bird ameandika kwamba "Huyo Bora angekufa tu kwenye ajali aliyopata juzi"
Sasa ndipo nimeshtuka labda pengine kuna sehem nilimkosea kwa kufaha ama kwa kutokufaham🤨
100%🤣🤣🤣 Shida utani wa humu watu uchukulia serious.
Mpuuze mkuu...huenda mlitaniana akakasirika
Umetoa tuhuma bila ushahidi wala uthibitisho.Sina wajibu huo, labda unipachike tu kwa kuwa nawe umdini sanaaaaa,
Halafu eti unajificha kwa kudai hakuna Mungu,
Ushahidi wa mazingira umekuumbua kwa kusemwa ukristo umepanic,
Uzushi mbona hata wewe mzushi, si unakopi huko mineno yako ya hovyo hovyo na kuiweka humu sio uzushi ni nini?