Tetesi: Jack Tuyisenge atua nchini kumalizana na Mo Dewji

Simba hawana hela ya kununua vita mchezaji,Makusu Mundele kasajiliwa toka Vita na mshahara ni million 80+ per month na signing fee ni one billion
 
Gadieli Michael ataweza mzuia kweli huyu cc Shadeeya
 
Upo sahihi sijui kwann hii tabia IPO,

Halafu simba angeimalisha beki kwanza,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kiufupi ndio kinara aliyeipeleka Gor Mahia robo fainali kama ilivyo kwa Kagere hapo Simba,CAFCC yeye ni miongoni mwa wafungaji bora na ameingia kwenye CAFCC Best XI kama forward.
HIV afrika kuna madirisha mangap ya usajiri ,mbona vurugu tu naona

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Yule ni kijana hatuwezi kumnunua na hatuwezi kumpata pia,tusubiri azeeke kwanza
 
Juuko aende ila wawa simba wajifikirie mara 2 mbili, ukimtoa nyoni wawa ni beki bora zaidi ssc.. Ni mpambanaji, kiongozi, muhamasishaji, muanzilishi mzuri wa mashambulizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu wawa watu hawajajua umuhimu wake ila jamaa muhimu sana. Mashambulizi ya simba yakitokea nyuma basi yanaanzia kwa wawa. Anapiga mipira mirefu na pasi zake zinafika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…