Wewe siku zote unazingua.Naona Ndala umekuja Na Speed si Ya Kawaida Kuleta Udakau?
Umeambiwa Akiondoka Masud Djuma Ndiyo Mwisho Wa Simba Nini?
Haswa Simba
Haswa Simba
Kipindi yanga anafululizà kuchua makombe simba mlifukuza makocha wangap na kuwaaribia cv zao? Mmojawapo yule wa Gormahia sasa hiviYanga Ndiyo Zaidi Wanaoharibu CV za Makocha Manake Ni aibu Katika CV ya Kocha Kuandikwa Kipengele Cha Club Ombaomba Mitandaoni.
Umewachangia wenzakoKuna tetesi nimezisikia kwenye vijiwe kuwa kocha msaidizi wa Simba Mrundi Masoud Djuma Mkataba wake umesitishwa, mdau mwenye taarifa zaidi atiririke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba watakua wamefanya kosa kubwa sana kama kweli watakua wamemuacha au wanampango wa kuachana na Masud Djuma
Makocha wa kizungu wanaokuja kutafuta ajira katika nchi kama zetu hasa kwa vilabu vinavyobangaiza mapato kama Simba, Yanga n.k hua ni wa kiwango cha kawaida sana ila wanabebwa na rangi yao na ushamba wa sisis waswahili
Djuma anaujua mpira, anawajua wachezaji, anaongea lugha yao na anafahamu mazingira ya uchezaji ya kiafrika na juu ya yote kaonyesha matunda yake katika kipindi chote alipokua anahudumu kama kocha mkuu
Masudi mtovu wa nidhamu anashinda bar na wachezaji wanalewa mpaka asubuhiSimba watakua wamefanya kosa kubwa sana kama kweli watakua wamemuacha au wanampango wa kuachana na Masud Djuma
Makocha wa kizungu wanaokuja kutafuta ajira katika nchi kama zetu hasa kwa vilabu vinavyobangaiza mapato kama Simba, Yanga n.k hua ni wa kiwango cha kawaida sana ila wanabebwa na rangi yao na ushamba wa sisis waswahili
Djuma anaujua mpira, anawajua wachezaji, anaongea lugha yao na anafahamu mazingira ya uchezaji ya kiafrika na juu ya yote kaonyesha matunda yake katika kipindi chote alipokua anahudumu kama kocha mkuu
Dah! Taarifa hizo sina mkuu, kama kweli kafikia hatua hiyo basi hafai bora aende zake maana nidhamu ndio msingi wa timuMasudi mtovu wa nidhamu anashinda bar na wachezaji wanalewa mpaka asubuhi