Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Kuna tetesi nimezisikia kwenye vijiwe kuwa kocha msaidizi wa Simba Mrundi Masoud Djuma Mkataba wake umesitishwa, mdau mwenye taarifa zaidi atiririke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app