Ushauri kwa mleta mada, ni vizuri uchague mada za kujenga kuliko kuwapotezea watu muda kusoma upuuzi ,
hii inaonesha ni jinsi gani ubongo wako ulivyoathirika na mapepo ya ngono, sasa humu ni eneo la mijadala ya watu wenye heshima zao na wenye akili timamu jirekebishe mapema