Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa Kocha Nabbi kutua Singida Fountain gate Fc

Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa Kocha Nabbi kutua Singida Fountain gate Fc

Nabi jawez kuwa mjinga hvo atoke yanga aende club nyingine hapa hapa tz tena kwa wakatii huu isichokijuwa n kwamba anazo ofa nyingi lkn tumebaki tukiijua ya kezer chief na hawez kosa timu kwa cv aliyonayo kwa sasa
 
Tatizo kocha Nabi alitaka aende na benchi nzima la ufundi
Pia alitaka yule kocha mzawa zwane hatoke wenzake wakamkatalia na kumtafuta kocha mwingine ,Aende tu uko singida ujeuri wake umemponza .
 
Tatizo kocha Nabi alitaka aende na benchi nzima la ufundi
Pia alitaka yule kocha mzawa zwane hatoke wenzake wakamkatalia na kumtafuta kocha mwingine ,Aende tu uko singida ujeuri wake umemponza .
Maamuzi ya mtu yaheshimiwe yeye kaona hawezi fanya kazi na mtu asie mtaka na wao wameona hawawezi kumpa anacho taka mwisho wa siku kila mtu kabaki na msimamo wake
 
Nabi angeifikisha Yanga fainali ya klabu bingwa naamini angegombaniwa na timu nyingi kubwa ndani na nje ya bara hili la Afrika.

Lakini kwakuwa aliwafikisha uto fainali ya kombe la losers ambalo halijulikani popote siioni nafasi yake kufundisha vilabu vikubwa tofauti na Singida
Punguza kula njugu mawe
 
Tuliwaambia hamna kocha pale

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
yule ni kocha wa levo za akina pep sio km makocha wenu wa kuokota akina robatinyo,kocha lazma uwe ni misimamo haijalishi unaenda timu gani hata km unaenda barca ila misimamo lazma izingatiwe,robetinyo hamtaki chama mnamwambia aingie kwenye mfumo wa chama naye anakubali asa huyo kocha utopolo?
 
Kwa hiyo zile offer nyingi mezani zote zimedunda hadi aje SBS?
 
Nabi naye ni kocha kubahatisha kwenda final kombe la looser akavimba kichwa hamna kocha pale kama hamuamini subirini aende team nyingine tuone matokeo yake.
 
Back
Top Bottom