Tetesi: Tetesi mechi Yanga Vs Simba imepangwa kufanyika baada mapumziko ya michezo ya kimataifa na mgeni rasmu ataku Rais Samia Suluhu Rais

Tetesi: Tetesi mechi Yanga Vs Simba imepangwa kufanyika baada mapumziko ya michezo ya kimataifa na mgeni rasmu ataku Rais Samia Suluhu Rais

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa

Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani

Tuone sasa kama kuna mtu atagomea kuleta timu uwanjani
 
Rais hawezi kuingia huo mtego wa kijinga wa TFF.Ile ni taasisi yenye watu wanafikiria vizuri. Yaan Rais akubali kunika uozo wa wajinga wachache?Kwanza walitakiwa wafungwe[emoji1787][emoji1787]
Subili uone paka anavyokula ugali wa mtama na kichuri
 
Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa

Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani

Tuone sasa kama kuna mtu atagomea kuleta timu uwanjani
Hata wamlete TRUMP wacheze wenyewe na tff
 
Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa

Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani

Tuone sasa kama kuna mtu atagomea kuleta timu uwanjani
Msimu huuu wameharibu league ....Yanga hatuchezi tena Derby
 
Hii ni nchi ya aina yake, ina watu wa aina yake.
Tanzania upumbavu ni kipaji mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi anajizima data

Bodi ya Ligi ya Tanzania wanatumia busara kutatua migogoro badala ya kutumia kanuni zilizopo huu Ndiyo upumbavu wenyewe Tena uliopitiliza inamaana mwenye pesa ama mwenye wadhifa anakuwa ndiye mwenye busara, kikikiki

.
Tanzania tunafurahia kuongozwa na wapumbavu

Tumekubali mpira wetu usimamiwe na watu ambao hawana weledi ambao hawawezi kutatua changamoto ama kuvitambua viashiria vya majanga ama changamoto

Yasiyotarajiwa, (uncertainty) husababishwa na
1. Taarifa, ukishindwa kuchakata taarifa kwa Wakati na kwa kukosa weledi itasabisha changamoto
2. Majanga ya kibinadamu na ki Mungu. Kwenye majanga huchomoki
3. Binadamu
Kuhusu binadamu, changamoto nyingi tunazo kabiliana nazo husababishwa na binadamu,

Binadamu anaweza jisabibishia changamoto kwa ujinga, ulafi, ushamba wivu upumbavu ulevi uoga pia anaweza kumsabishia mtu mwingine changamoto kwa makusudi ama kwa bahati mbaya

Hitimisho bodi ya Ligi ya Tanzania haina weledi huwa hawaendi eneo la tukio, (uwanjani), wanategemea meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo pia hawatumii mfumo wa kidigitali


Walivyo wajinga wana subiri kamati ya masaa 72 ambayo ina taarifa ambazo wanazo,(taarifa ya mchezo ambao haukuchezwa),

Expecting results from what you know

Kutegemea matokeo ambayo unayo
 
Ubunge Jimbo gani? Afu taratibu za Mgeni rasmi hupangwa na Mwenyeji wa Mechi sio Mgeni.
 
Tetesi Zinasema Mechi kati ya vigogo hao itachezwa baada mapumziko ya mechi za kimataifa

Na mgeni rasmi inasemekana atakua rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani

Tuone sasa kama kuna mtu atagomea kuleta timu uwanjani
Hakuna dabi nyingine msimu huu. Simba waache kuchezea akili za watu
 
Rais hawezi kuingia huo mtego wa kijinga wa TFF.Ile ni taasisi yenye watu wanafikiria vizuri. Yaan Rais akubali kunika uozo wa wajinga wachache?Kwanza walitakiwa wafungwe🤣🤣
Weweee hivi kweli unaiwekea dhamana miccm kabisaaaa! Kila la hovyo lisilowezekana, kwa mashetani ya ccm inawezekana.
 
Back
Top Bottom