Tetesi:Mgomo unanukia udsm.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Mpaka jana jioni,hakukua na muafaka kati ya uongozi wa chuo na wawakilish wa DARUSO kuhusu suala la kusign mkopo...

Uongozi umeendelea kusisitiza kwamba,lazima kila mtu awe na valid ID na wakati wao ndio waliofanya makosa au walikusudia kutengeneza ID ambazo expire date yake inatukuta wanafunzi tukiwa bado tuko likizo,kwa hyo imeonekana idadi kubwa ya wanafunzi watashndwa hilo shart la kulipia portion ya ada zao zilizobaki coz most of us tunategemea bumu kulipia michango ya chuo..

So hadi jana jion,wanaharakati mbalimbali walikua wameanza kujikusanya ili kuangalia namna ya kumobilize watu ili waweze kupinga hiyo sheria mpya ya kusign boom..pia uongozi umetishia kuwafukuza baadhi ya wawakilish wa daruso endapo wataendelea kulifuatilia hili suala,hili nalo limezidi kuchochea hasira za wanaharakati..

Niko eneo la tukio,nitaendelea kuwajuza kinachoendelea.
 
poleni vijaNaaa ila mkileta fujo MPIGWE tyuu.....
 
Hamna mgomo hapo..kiukweli..nyie udsm ni waoga kama kunguru siku hizi
 
Si mnajitapa nyinyi udsm hakuna matatizo haya yametoka wapi? Mabingwa wa mbwembwe na tambo dhidi ya vyuo vingine sasa imekuwaje tena mgome?
 
Nyie wa vyuo vyenu vya ovyo ndo mnao Tushobokea ,kalale mbele huu uzi haukuhusu , nenda kwenye uzi wa chuo chako ! Shit
Si mnajitapa nyinyi udsm hakuna matatizo haya yametoka wapi? Mabingwa wa mbwembwe na tambo dhidi ya vyuo vingine sasa imekuwaje tena mgome?
 
Si mnajitapa nyinyi udsm hakuna matatizo haya yametoka wapi? Mabingwa wa mbwembwe na tambo dhidi ya vyuo vingine sasa imekuwaje tena mgome?

we msengerema kweli..bila udsm kugoma we ungepata bumu huko kwenye lichuo lako la kata?
 
Eti wanaharakati! Hivi wale wanafunzi walounda umoja wa wanafunzi waliofukuzwa vyuoni tanzania wamesharudishwa chuo?
 
Eti wanaharakati! Hivi wale wanafunzi walounda umoja wa wanafunzi waliofukuzwa vyuoni tanzania wamesharudishwa chuo?

yah,wa udsm wamerudishwa ingawa sio wote..swali lingine?
 
Ka mnagoma,gomeni wawarudishe KIGOMA! hapa S.A.U.T washakula vyao muda mrefu!
 
udsm ya sasa kwishney hamna mwanaharakati yoyote atakaeweza kumobilize mgomo kwa sasa, revo square yenyewe mpaka leo mmeshindwa kuirudisha hata kwa ajili ya kujadili masuala ya kawaida tu sembuse mgomo!.. Naitaman na naikumbuka sana ile udsm ya 2010/11 kama sikosei ile ambayo ilifanya ule mgomo wa kushinikiza boom kupanda toka 5000 hadi 10000 japo ilipita 7500, wazir wa elimu hatakuja kusahau alivyoteseka juani siku ile ili kutuliza mambo... Poleni sana ndugu zang kwa yanayowapata sasa!.
 
we msengerema kweli..bila udsm kugoma we ungepata bumu huko kwenye lichuo lako la kata?

wewe ni kalio. Ungekuwa ---- usingehukumu kila anaechangia ni mwanachuo. Pia tambua mgema akisifiwa tembo hufanya makeke. Huwa kila wanachuo wa vyuo vingine wakilalama mfano Jordan university mnawabeza kwa kuwambia waende udsm hapana matatizo ya boom! Sasa haya yametoka wapi? AU huwa mnasahau kauli? Wasomi kama hawa ndio wale wanasema jimbo langu halina tatizo mheshimiwa spika,kisha anasema stendi imejengwa chini ya kiwango. Kisha anachangia hoja mia kwa mia.
 
Hao wanao lingia chuo ni fisrt year kuwasamehe jamani,hakuna mgomo hapo mgomo wa mwisho ulutokea enzi zetu na ukawa na impact vyuo vyote tz,na wala hatukujisifia kwani tuliamini sisi wote ni wamoja,vyuo ni majina tu ya nyumba za kulala
 
Si mnajitapa nyinyi udsm hakuna matatizo haya yametoka wapi? Mabingwa wa mbwembwe na tambo dhidi ya vyuo vingine sasa imekuwaje tena mgome?

tuna dai haki zetu mpaka kieleweke hakuna cha ubingwa wala nini
 
Duh! Jordan University!!! Where is this? In Jordan? Ahahahahaaaaaaaa
 

we kenge,naomba ukae mbali na mimi.
 
Chomeni hiyo Nkurumah tubadilishe picha kwenye ile pesa ya noti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…