Tetesi:Mgomo unanukia udsm.

Tetesi:Mgomo unanukia udsm.

Nyie endeleeni kuleta mbwembwe hapo za hiyo migomo na mobilization zisizo na maana,kuna mwana nakumbuka nilipokua nasoma hapo UDSM,alikua mtata sana na organiser wa migomo,alikua anajiita ALSHABABI ilikua mwaka 2012 aliusumbua sana uongozi wa chuo maana wenzie wote walikua wamesimamishwa chuo yeye ndio akawa amebakia na akawa anaongoza iyo migomo,unaambiwa usalama wa taifa walikua wanamsaka sana,ila mara ya mwisho nakumbuka alikuja kuchukuliwa saa nane za usiku pale mabibo hosteli na watu wasiojulikana hadi leo sijui aliishia wapi............so kuweni makini.
 
  • Thanks
Reactions: SJA
Nyie endeleeni kuleta mbwembwe hapo za hiyo migomo na mobilization zisizo na maana,kuna mwana nakumbuka nilipokua nasoma hapo UDSM,alikua mtata sana na organiser wa migomo,alikua anajiita ALSHABABI ilikua mwaka 2012 aliusumbua sana uongozi wa chuo maana wenzie wote walikua wamesimamishwa chuo yeye ndio akawa amebakia na akawa anaongoza iyo migomo,unaambiwa usalama wa taifa walikua wanamsaka sana,ila mara ya mwisho nakumbuka alikuja kuchukuliwa saa nane za usiku pale mabibo hosteli na watu wasiojulikana hadi leo sijui aliishia wapi............so kuweni makini.

Jamaa alitamba sana... dada mmoja mchaga nae akaunga mkono harakati akajiita ALSHABIBI sijui kapotelea wapi....
 
Nyie endeleeni kuleta mbwembwe hapo za hiyo migomo na mobilization zisizo na maana,kuna mwana nakumbuka nilipokua nasoma hapo UDSM,alikua mtata sana na organiser wa migomo,alikua anajiita ALSHABABI ilikua mwaka 2012 aliusumbua sana uongozi wa chuo maana wenzie wote walikua wamesimamishwa chuo yeye ndio akawa amebakia na akawa anaongoza iyo migomo,unaambiwa usalama wa taifa walikua wanamsaka sana,ila mara ya mwisho nakumbuka alikuja kuchukuliwa saa nane za usiku pale mabibo hosteli na watu wasiojulikana hadi leo sijui aliishia wapi............so kuweni makini.

Duh kumbe vyuoni kuna mambo.
 
ALSHABAB ndo alikua mtu wa mwisho kumobilize mgomo pale chuoni tokea uongozi umshuhulikie hakuna kiumbe mwingine aliejitokeza kumobilize watu....buriani revo square!
 
Nyie endeleeni kuleta mbwembwe hapo za hiyo migomo na mobilization zisizo na maana,kuna mwana nakumbuka nilipokua nasoma hapo UDSM,alikua mtata sana na organiser wa migomo,alikua anajiita ALSHABABI ilikua mwaka 2012 aliusumbua sana uongozi wa chuo maana wenzie wote walikua wamesimamishwa chuo yeye ndio akawa amebakia na akawa anaongoza iyo migomo,unaambiwa usalama wa taifa walikua wanamsaka sana,ila mara ya mwisho nakumbuka alikuja kuchukuliwa saa nane za usiku pale mabibo hosteli na watu wasiojulikana hadi leo sijui aliishia wapi............so kuweni makini.

Ni mmoja wa muanga wa mgomo wa 2010/11/2012 na kwasasa nipo kwenye moja ya vyuo vikuu napiga shule....niliwahi kuchukuliwa na usalama kwa maoijiano na kwa ajili ya kufanya mgomo usitokee ila badae walituachia tukiwa watu kumi kwani tulikuwa tukiandaa mgomo pale mabibo block G na kwakweli tulifanikiwa sana kwani bumu liliweza kupanda na vijana waliokosa mkopo waliweza kupata...uoga haujawahi kushinda na tatizo kubwa la vyuo vyetu watu wanajidai wasome wamalize waondoke...toeni uoga vijana wa udsm na vyuo vingine piganieni haki yenu´....sitawasahau vijana wafuatao waliowezesha harakati zile Richard marwa,makwaiya,ndunguru florian,ndunguru francis,emekha lusako,alshabib,alshabab n.k. Na wengine waliojitolea tuzo yetu ni kubwa.....na kwa ufupi alshabab yupo hai na anaendelea vizuri na hao wengine wote wapo hai wanapiga shule...
 
Mkigoma mnamgomea nani?kuna mtu anajali kuathirika kwenu kielimu?Kuna watu walisoma hadi leo ni madaktari na maprof. lakini hao ndio wanafanya mambo ya kikanjanja hadi nyie leo mnacheleweshewa "boom"kama mnavyoita wenyewe!Nawashauri mtafute njia nzuri ya kudai haki zenu kwani ni wazi Tanzania watu wengi wakisoma wanakuwa Sadists!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sisi hatunaga tambo huo ni uongo mtupu haya hayakuhusu yaache yalivyo, acha kuleta ushabiki kwenye mambo usiyoyajua.
 
Kitaeleweka tu,leo nimeshuhudia waraka wa raisi KISANKO nadhani tukiungana flan hv ishu itasovika..ngoja nirudi bibo
 
Ni mmoja wa muanga wa mgomo wa 2010/11/2012 na kwasasa nipo kwenye moja ya vyuo vikuu napiga shule....niliwahi kuchukuliwa na usalama kwa maoijiano na kwa ajili ya kufanya mgomo usitokee ila badae walituachia tukiwa watu kumi kwani tulikuwa tukiandaa mgomo pale mabibo block G na kwakweli tulifanikiwa sana kwani bumu liliweza kupanda na vijana waliokosa mkopo waliweza kupata...uoga haujawahi kushinda na tatizo kubwa la vyuo vyetu watu wanajidai wasome wamalize waondoke...toeni uoga vijana wa udsm na vyuo vingine piganieni haki yenu´....sitawasahau vijana wafuatao waliowezesha harakati zile Richard marwa,makwaiya,ndunguru florian,ndunguru francis,emekha lusako,alshabib,alshabab n.k. Na wengine waliojitolea tuzo yetu ni kubwa.....na kwa ufupi alshabab yupo hai na anaendelea vizuri na hao wengine wote wapo hai wanapiga shule...

Ni kweli unachosema mkuu....watu wanashindwa kuelewa kua cku zote ktk kupigania haki lazima kuwe na gharama ili hiyo haki ipatikane....tunasahau hta kua hta yesu ilibdi ateseke na afe ili atambuliwe kua ni mfalme wa wayahudi...hizi kauli za kebehi hazifai kabisa kwasababu hali waliyonayo wanafunzi wa vyuo vyte nchini ni kwasababu ya migomo flani iliyotokea kipindi cha nyuma na pesa ya matumizi kuongezwa
 
Nyie endeleeni kuleta mbwembwe hapo za hiyo migomo na mobilization zisizo na maana,kuna mwana nakumbuka nilipokua nasoma hapo UDSM,alikua mtata sana na organiser wa migomo,alikua anajiita ALSHABABI ilikua mwaka 2012 aliusumbua sana uongozi wa chuo maana wenzie wote walikua wamesimamishwa chuo yeye ndio akawa amebakia na akawa anaongoza iyo migomo,unaambiwa usalama wa taifa walikua wanamsaka sana,ila mara ya mwisho nakumbuka alikuja kuchukuliwa saa nane za usiku pale mabibo hosteli na watu wasiojulikana hadi leo sijui aliishia wapi............so kuweni makini.

Uoga wako ndio umasikini wako....binadamu ni kiumbe kinachoweza kuishi kwa matumaini kwa muda mrefu sana ila aonapo mbele giza basi huwa mkatili....katika maisha ukiwa muoga kila cku hutakaa kuthubutu kitu
 
Mkigoma mnamgomea nani?kuna mtu anajali kuathirika kwenu kielimu?Kuna watu walisoma hadi leo ni madaktari na maprof. lakini hao ndio wanafanya mambo ya kikanjanja hadi nyie leo mnacheleweshewa "boom"kama mnavyoita wenyewe!Nawashauri mtafute njia nzuri ya kudai haki zenu kwani ni wazi Tanzania watu wengi wakisoma wanakuwa Sadists!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Kwa ushauri wako wewe ni njia gani zingine zinafaa??
 
dogo msijali pigeni mzigo hadoi kieleweke.eboo bila mgomo hao jamaa tushawazoea tangu 2008
 
Wamesharudishwa mfano udom aliyewahi kuwa raisi wa wanafunzi na serikali yake wamesha rudishwa
 
Hakuna cha UDSM wala nini sasa hivi, wote mnatoka shule hizihizi zenye kuzalisha Div. 5! Hamjitambui mkiwa chuo, hamjitambui baada ya kuhitimu...Yaani sasa kwenda chuo ni kama "fashion" wala hamuongezi kitu katika bongo zenu...ubinafsi unaongezeka, maslahi ya Taifa hakuna (Ipo siku mnaojiita wasomi wa Taifa hili mtajuta kututambua, mnatumia kodi zetu mnachofanya sufuri)
 
Mpaka jana jioni,hakukua na muafaka kati ya uongozi wa chuo na wawakilish wa DARUSO kuhusu suala la kusign mkopo...uongozi umeendelea kusisitiza kwamba,lazima kila mtu awe na valid ID na wakati wao ndio waliofanya makosa au walikusudia kutengeneza ID ambazo expire date yake inatukuta wanafunzi tukiwa bado tuko likizo,kwa hyo imeonekana idadi kubwa ya wanafunzi watashndwa hilo shart la kulipia portion ya ada zao zilizobaki coz most of us tunategemea bumu kulipia michango ya chuo..so hadi jana jion,wanaharakati mbalimbali walikua wameanza kujikusanya ili kuangalia namna ya kumobilize watu ili waweze kupinga hiyo sheria mpya ya kusign boom..pia uongozi umetishia kuwafukuza baadhi ya wawakilish wa daruso endapo wataendelea kulifuatilia hili suala,hili nalo limezidi kuchochea hasira za wanaharakati..
Niko eneo la tukio,nitaendelea kuwajuza kinachoendelea.

Vipi Steven Owawa ndo anaongoza mgomo?
 
Vipi Steven Owawa ndo anaongoza mgomo?

ha ha ha huyu jamaa aliniachiaga manyanga 2010 pale udsm kuongoza chama cha wanaharakati.... Aliingia UDSM 2005 akafukuzwa,akarudi 2006
akisimamishwa 2007 baadae akarudi,2008
akasimamishwa mwezi moja,2009
akasimamishwa mwaka mzima wakarudi baada
ya kumaliza kesi na kushinda serikali dhidi ya
viongozi wa DARUSO,na amemaliza rasmi 2010 yeye na silinde,Machibya nakumbuka hayo
machache amekuwa akifukuzwa kutokana na
msiamo mkali wa kuongoza mgomo kupinga
sera ya Uchangiaji elimu ya juu Tanzania,ni hayo
machache ninayofahamu wadau...na kwasasa yupo national audit office sijui mkoa gani ila pia kwa mbali inasemekana ni shushushu(sijathibitisha)
 
Back
Top Bottom