Tetesi: Mou kutua Man U, Pep kutua Man City

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,130
Wakati club za Roma na Monaco zikiendelea kumpigia magoti Mou kutua kikosini kwao, habari zilizo chini ya kapeti ni kuwa Jose Mourinho kutua kwenye club ya Manchester United na Pep Guardiola kwenye club ya Manchester City.

Tuendelea kufuatilia!
 
MOU aje united huyu babu nijanga hatufai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…