T TheDealer JF-Expert Member Joined Nov 19, 2012 Posts 2,424 Reaction score 1,130 Dec 20, 2015 #1 Wakati club za Roma na Monaco zikiendelea kumpigia magoti Mou kutua kikosini kwao, habari zilizo chini ya kapeti ni kuwa Jose Mourinho kutua kwenye club ya Manchester United na Pep Guardiola kwenye club ya Manchester City. Tuendelea kufuatilia!
Wakati club za Roma na Monaco zikiendelea kumpigia magoti Mou kutua kikosini kwao, habari zilizo chini ya kapeti ni kuwa Jose Mourinho kutua kwenye club ya Manchester United na Pep Guardiola kwenye club ya Manchester City. Tuendelea kufuatilia!
D2050 JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 1,919 Reaction score 1,094 Dec 20, 2015 #2 MOU aje united huyu babu nijanga hatufai