Tetesi: Mou kutua Man U, Pep kutua Man City

Tetesi: Mou kutua Man U, Pep kutua Man City

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,130
Wakati club za Roma na Monaco zikiendelea kumpigia magoti Mou kutua kikosini kwao, habari zilizo chini ya kapeti ni kuwa Jose Mourinho kutua kwenye club ya Manchester United na Pep Guardiola kwenye club ya Manchester City.

Tuendelea kufuatilia!
 
MOU aje united huyu babu nijanga hatufai
 
Back
Top Bottom