Tetesi: Mtangazaji wa Clouds kwenye ishu ya Chonji

Clouds ya Vilaza na wasiojitambua,wagonjwa wa ukimwi,wauza sembe na matapeli wa wasanii

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Swahiba arke ukuta halafu chonji ashindwe? Si rahisi kama AN NU angekuwepo lazima angedakwa tu maana troopS iliyokuwepo nje asingeweza kuruka ukuta yule.
 
Swahiba arke ukuta halafu chonji ashindwe? Si rahisi kama AN NU angekuwepo lazima angedakwa tu maana troopS iliyokuwepo nje asingeweza kuruka ukuta yule.

sio tu watu kuruka bali hadi mzigo mwingine ulikuwa unatolewa nje, uliokamatwa sio wote..hiyo ni kwa mujibu wa watu walioshuhudia..nenda makanya magomeni ukapate hizo story yakhe
 
sio tu watu kuruka bali hadi mzigo mwingine ulikuwa unatolewa nje, uliokamatwa sio wote..hiyo ni kwa mujibu wa watu walioshuhudia..nenda makanya magomeni ukapate hizo story yakhe

Chonji alikataa kuruka ila watu waliruka ukuta kule nyuma.....

Duuu kama Nugaz na yeye anauza bwimbwi basi ipo siku na yeye atakuja kuwa teja.
 
sio tu watu kuruka bali hadi mzigo mwingine ulikuwa unatolewa nje, uliokamatwa sio wote..hiyo ni kwa mujibu wa watu walioshuhudia..nenda makanya magomeni ukapate hizo story yakhe

aiseeee hali mbaya
 
Nimesoma huu uzi wote chap chap kabla haujafutwa. Huu uzi unaweza kufutwa au kuleta ban.
Ova
 
Clauds naichukia! Inapelekea hata watangazaji siwapendi!
 
Nimesoma huu uzi wote chap chap kabla haujafutwa. Huu uzi unaweza kufutwa au kuleta ban.
Ova
juzi tu kusema video ya ali kiba iko tayari, thread ikafutwa, nasubiri siku ikitoka huyo mod aje aniombe radhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…