Tetesi: Musiba kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya, anaweza kupewa Arusha, Hai au Tarime

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kuna tetesi zinatembea "chini ya kapeti" kwamba Musiba anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya katika hizo Wilaya tata kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.Tega sikio
 
Kwa tetesi hii hata kama alikuwa kweli ateuliwe hapa unaweza upeperushie mwenzio njiway.
 
Ngoja tuone...
Akiteuliwa itamaanisha Mama alikuwa Bega kwa Bega na Simba mwenye sharubu aliepita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…