chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Nov 11, 2023 #1 Kuna tetesi zinatembea "chini ya kapeti" kwamba Musiba anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya katika hizo Wilaya tata kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.Tega sikio
Kuna tetesi zinatembea "chini ya kapeti" kwamba Musiba anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya katika hizo Wilaya tata kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.Tega sikio
political monger senior JF-Expert Member Joined Nov 26, 2020 Posts 1,827 Reaction score 5,994 Nov 11, 2023 #2 Itakuwa ni nchi ya ajabu sana hii.
SYLLOGIST! JF-Expert Member Joined Dec 28, 2007 Posts 8,189 Reaction score 7,853 Nov 11, 2023 #3 'Ngosha', 'Patatosha huko'? 'Wacha wamumune' Give me Five
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Nov 11, 2023 #4 Wamteue tu hata kichaa. Kwani Kuna shida gani?.
K katitu JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 3,180 Reaction score 3,295 Nov 11, 2023 #5 political monger senior said: Itakuwa ni nchi ya ajabu sana hii. Click to expand... Itakuwa anguko la nchi
political monger senior said: Itakuwa ni nchi ya ajabu sana hii. Click to expand... Itakuwa anguko la nchi
M Mpuretamu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1,376 Reaction score 2,285 Nov 11, 2023 #6 Kwa tetesi hii hata kama alikuwa kweli ateuliwe hapa unaweza upeperushie mwenzio njiway.
Ngiama makanda JF-Expert Member Joined Jan 8, 2016 Posts 1,552 Reaction score 2,741 Nov 11, 2023 #7 Kama ni kweli basi huo ni mtego kwa musiba
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 166,767 Reaction score 705,461 Nov 11, 2023 #8 Ngoja tuone... Akiteuliwa itamaanisha Mama alikuwa Bega kwa Bega na Simba mwenye sharubu aliepita.