Mpaka muda huu sijamsikia KispikaHizi goli 5 za Yanga zitaondoka na wengi sana pale kwa makolo uwenda kuanzia kocha mpaka meneja wa habari nae rungu likamkuta
Kuna taarifa nimeona nae Ahmed ameitwa[emoji1]Hizi goli 5 za Yanga zitaondoka na wengi sana pale kwa makolo uwenda kuanzia kocha mpaka meneja wa habari nae rungu likamkuta
Duuuuu bando hizi, kumbe ndo maan wanatupandishia bando hovyohovyo.Kuna taarifa nimeona nae Ahmed ameitwa[emoji1]
Coz jamaa hana professional ya mpira.....anaongea sana kiasi kwamba unawapa hasira opponent wako
Fanya ivyo mkuu mimi naona tatizo ni MO awa wengine ni kama mbuzi wa kafara tu.Nikipata nafasi nitaandika upupu wote kuanzia Mo, mangungu, Try again, Body ya kurugenzi, na Benchi la ufundi scauti na analyst wao.
Fanya ivyo mkuu mimi naona tatizo ni MO awa wengine ni kama mbuzi wa kafara tu.
Tumefungwa goli 5. Lakini kabla matanga kuisha tumeanza kushikiana mapanga wenyewe.Kama heading inavyojieleza kwa story za jikoni kabisa na tetesi nilizozipata kutoka ndani ya simba.. zinaeleza,mwenyekiti wa Simba murtaza mangungu amepewa masaa kadhaa ya kujiuzulu nafasi yake..Viongozi na wajumbe na wanachama wa simba wameanza kunyoosheana vidole wakituhumiana kwa usaliti ndani ya klabu.. Stay turned...View attachment 2806883
Aisee huyu Mangungo huwa sikuelewi...na ukizingatia alikuwa Mbunge wa CCM!Ndo maana TFF imesogeza mbele mechi yetu against Azam ili tumalize kwanza hili la akina Mangungu.
Na hawatoki hivi hivi. Wanatoka kwa bakora wakawaonyeshe wake zao huko home. Nyambafu!
Kipindi timu inafanya vizuri nyie nyie ndiyo mlikuwa seat ya mbele kusifia., acheni unafiki mpira utabaki kuwa mpira tu. Sas ni zamu ya kijani kupata furaha, hautakuwa mpira kama Simba tu itakuwa bora miaka nenda rudi.Nikipata nafasi nitaandika upupu wote kuanzia Mo, mangungu, Try again, Body ya kurugenzi, na Benchi la ufundi scauti na analyst wao.
Huko ni Ulaya usilete mifano ya Ulaya kwenye professionalism ulinganishe na huku Mpwayungu!Kipindi timu inafanya vizuri nyie nyie ndiyo mlikuwa seat ya mbele kusifia., acheni unafiki mpira utabaki kuwa mpira tu. Sas ni zamu ya kijani kupata furaha, hautakuwa mpira kama Simba tu itakuwa bora miaka nenda rudi.
Angalia England, Man U leo anasuasua tu na kuna kipindi Arsenal, Liverpool, Chelsea walikuwa wanasuasua, huo ndio mpira.