TETESI: Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu kujiuzulu muda wowote kuanzia sasa

TETESI: Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu kujiuzulu muda wowote kuanzia sasa

Tatizo lako ushabiki mandazi na mpira umeanza kushabikia ukubwani ulipojuwa kubeti, tafuta kazi ya maana kubeti siyo kazi utakufa masikini ha ha haaaa.
Wewe ni lofa, unajua kila mmoja ni afisa ubashiri kama ulivyo wewe? Kwa taarifa yako tu, mimi bado mdogo hata sijakua kama unavyonitafsiri wewe!
 
Wewe ni lofa, unajua kila mmoja ni afisa ubashiri kama ulivyo wewe? Kwa taarifa yako tu, mimi bado mdogo hata sijakua kama unavyonitafsiri wewe!
Uwe mdogo uwe mkubwa utajuwa wew na maisha yako.., masikini ndiyo kazi zenu., tafuta hela usije ukawalaum waliokuzaa.
 
Si mlimchagua wenyewe baada ya kumleta Manzoki??

Na alisema aliwaahidi kumchapa mtani na alimchapa, mkampa kura zenu mkisema hamumdai na hana baya( kama ilivyo desturi yenu).

Leo mnamgeuka tena dooh
 
Sawa mim ni lofa ila wew ni Masikini., narudia tena wew ni Masikini wa akili na Mali mbwa wew.,
Last born halafu lofa, wasalimie kanda maalumu huko[emoji3][emoji3][emoji3]
 
𝗕𝗔𝗗𝗢 𝗛𝗔𝗝𝗔𝗠𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗢𝗟𝗢

Huko ukoloni kumechafuka [emoji1][emoji1] Mwenyekiti amepewa muda ajiuzulu mwenywe bila shuruti

Hii imeenda bado sasa wenye timu yao marafiki wa [emoji881] HAWAMTAKI mwenyekiti wao upande wa wanachama.leo saa 11 jioni uso kwa uso na mwekezaji.

#NOTE Nipo na nyie kwa bega kwa bega.Huyu Tege alikuwa swaiba wake sana mwenyekiti wa wanachama.[emoji23]

NB;Nitakuwepo posta leo kusubiri huu ubuyu.....labda mniueeee Makolo...

[emoji776][emoji776][emoji776]
Cc: Castor Yanga news View attachment 2806827
Tumezidiwa katika biashara,mazonge zonge na fitna za soka.
Wenzetu wanatumia pesa zinazochotwa serikalini kuhakikisha wanamiliki soka la ndani.
Simba inaweza kuwa inashindana na nguvu kubwa siyo ya kisoka bali ya unazi wa maguru wa ufisadi serikalini.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Last born halafu lofa, wasalimie kanda maalumu huko[emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha haaaa.., Jitahidi sana kijana wangu uwe na akili, akili hiyo itakuwezesha kupata mafanikio na utaondokana na umasikini. Ila ukiendelea na akili zako hizo shauli yako wakati hata chakurithi hapo kwenu hakuna.
 
Back
Top Bottom