Tetesi: Nape Moses Nauye Katibu Mkuu mpya wa CCM, Pole pole Mwenezi huku Makongoro Nyerere akiwa RC Dsm

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tunapoelekea uchaguzi mkuu safu mpya zinazokuja kuziba mapengo ni pamoja na Nape kuchukua nafasi ya Nchimbi huku Pole pole akirejea nchini kumsaidia Kazi Mzee Amos.

Makongoro Nyerere anakwenda kuchukua jiji la DAR. Mzee Januari anarudi kusimamia Muungano
 
Jiji la Dar linahitaji mtu kaliba ya Mtaka
 
Hapo ndio CCM kaweka super sub au bado anaendelea kujitafuta,,?
 
hapo chadema wanatafutana na bado vijana wa uvccm hawajaingia kati mbona mama mitano tena mapema
 
Sema Polepole anafaa kuwa SG
 
Eti????
 
Huko CCM hakunaga vijana na majina mapya?!?
Koo ni zile zile😕
 
Kwa uongozi mpya uliopo chadema ccm ni vizuri ijipange, nimeona Makala anaanza kuzidiwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…