Kwa waliokuwa majirani zake enzi hizo hawatashangaa sana maana hata yule mke wa mwingine kipindi hicho jamaa akiwa choka mbaya sana alikuwa anamvurumishia makonde na matusi mazitomazito juu yake.
Hata baada ya simba kumpa maisha na connections na standard ya maisha ku improve bado dada alikaza kudai talaka akaenda kuolewa kwenye amani
Sasa majuzi tena lopolopo likaoa kwa mbwembwe hadi kwenye tv issue ikaruka live na gari likatolewa na wauza magodoro kam asehemu ya shukrani ya usaliti SASA ZA NDANINDANI ZASEMA KWAMBA BIBIYE KABWAGA MANYANGA, JAMAA LINAPIGA NGUMI KAMA MWAKINYOOO HUKU LIKIMSUTA
KAAGA KARUDI KWAO AISJE KUFIA MIKONONI MWA LOPOLOPO
Hata baada ya simba kumpa maisha na connections na standard ya maisha ku improve bado dada alikaza kudai talaka akaenda kuolewa kwenye amani
Sasa majuzi tena lopolopo likaoa kwa mbwembwe hadi kwenye tv issue ikaruka live na gari likatolewa na wauza magodoro kam asehemu ya shukrani ya usaliti SASA ZA NDANINDANI ZASEMA KWAMBA BIBIYE KABWAGA MANYANGA, JAMAA LINAPIGA NGUMI KAMA MWAKINYOOO HUKU LIKIMSUTA
KAAGA KARUDI KWAO AISJE KUFIA MIKONONI MWA LOPOLOPO