Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #21
Shaffih Dauda ataambia nini watu?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shaffih Dauda ataambia nini watu?
Everton tena? umetisha mkuu..bora hata West ham kidogo....wanafanana karangi cha jezi.Kwanza hiyo Aston Villa yenyewe kila wakati nilikuwa naichanganya na Everton!
Huwapunguzii kitu lakinNa ndio itakua mwisho kushangilia aston villa
Ile nyomi ya pale mbagala siku ile ya mechi unafikiri taarifa huko hazikuwafikia?Huwapunguzii kitu lakin
Huyo haujui mpira ndio fata mkumboEverton tena? umetisha mkuu..bora hata West ham kidogo....wanafanana karangi cha jezi.
😂😂😂hivi umesoma kweli kitu ulicho kiandika 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Asikubali kwenda popote aisee. Abaki hapohapo Wingereza ale maisha, yaani asikubali ujinga kabisa. Eti wanataka kumuuza Uturuki, wangekua wao wangekubali!? Samatta asikubali kabisa huo ujinga. Yaani huu ndio wakati wa Samatta kuwaonesha hao wajinga wa Aston Villa kuwa Wabongo sio watu wa mchezomchezo.
Wabongo wenzio tupo nyuma yako, ngoja twende tukavamie account zao za Instagram na Twitter ili wajue kuwa sisi hatupendi utani!!!
Shaffih Dauda ataambia nini watu?