The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Kuna tetesi kuwa kampuni ya simu ya SASATEL imeuzwa kwa mwekezaji kutoka South Africa na tayari management kutoka South Africa imeishaanza kufanya kazi mwenye habari zaidi za uhakika kama anazo anaweza kutuhabarisha pia.