Si kweli hao hata ukiwasugua na gunzi ni kazi bure tundugu hawamtaki ila Shilole kakolea na show za North Korea za uchebe hongera broooh, unamsugua nyamwezi kama huna akili timamu. haya mambo ni hatari we ndugu kuwa observer tu.
Ndugu wanadai Shilole amewatupa toka ampate Uchebe na Hata kutimuliwa kwao Nyumbani kwa Shishi kuna mkono wa Uchebe. Pia Wanadai Uchebe anamchuna ndugu yao hivyo Shilole badala ya kuwasaidia wao, ye anamhonga Uchebe.Tangu lini ndugu wakampangia mtu mzima aoe/kuolewa na nani??
Anatia nanga topeni?Uchebe fundi tope huyo.
Mzee wa kukandika.Anatia nanga topeni?
King MendeMzee wa kukandika.