Inawezekana kwa sababu jamaa is broke. Very interestingTetesi na habari zilizo chini ya kapeti katika klabu ya Simba inaelezwa kuwa Simba ipo kwenye mpango wa kufanya usajili wa kushtukiza ulimwengu na soka la Tanzania kwa kumsajili mchezaji wake zamani wa Arsenal na Galatasalay ya uturuki ili kuongeA nguvu katika ligi ya Mabingwa Africa.
Ikumbukwe Simba wana nafasi ya kusajili wachezaji kwa ajili ya michuano ya klabu bingwa ya Africa katika hatua hii ya makundi.
Eboue anaemudu kucheza nafasi ya beki namba 2 au winga namba 7 kwa Sasa Ni mchezaji huru akifanya mazoezi binafsi
View attachment 998235View attachment 998236
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kwa sababu jamaa is broke. Very interesting
Kwani yanga hii itachukua ubingwa[emoji44][emoji44][emoji44]?...mnyama round ya pili anakupa 5
Kwa hiyo Manara ndivyo anavyowadanganya kuwa mkimfunga Yanga tano round ya pili mnachukua Ubingwa?Kwani yanga hii itachukua ubingwa[emoji44][emoji44][emoji44]?...mnyama round ya pili anakupa 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkila tano si ndio mwanzo wa kuchapana bakoraKwa hiyo Manara ndivyo anavyowadanganya kuwa mkimfunga Yanga tano round ya pili mnachukua Ubingwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Manara kaingiaje hapo?Kwa hiyo Manara ndivyo anavyowadanganya kuwa mkimfunga Yanga tano round ya pili mnachukua Ubingwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkila tano si ndio mwanzo wa kuchapana bakoraKwa hiyo Manara ndivyo anavyowadanganya kuwa mkimfunga Yanga tano round ya pili mnachukua Ubingwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka mechi ya marudio na simba ifike yanga tayari washakua mabingwa..
Tano za kwenye keyboard hizo.Kwani yanga hii itachukua ubingwa[emoji44][emoji44][emoji44]?...mnyama round ya pili anakupa 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbumbumbu hiyo.