Wakuu wa vyuo husika badala ya kutuma majina ya walioclear sup zao mwaka jana wao wakatuma majina ya wenye sup wanaotakiwa kuclear mwaka huu Tamisemi wanashughulikia hilo (hadi tarehe 15/5)....nimepenyezewa taarifa na mhanga mwenzangu aliyeenda tamisemi leo!