Tetesi: Walimu wapya walioajiriwa ili hali wana supp.

Canop

Senior Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
175
Reaction score
28
Wakuu wa vyuo husika badala ya kutuma majina ya walioclear sup zao mwaka jana wao wakatuma majina ya wenye sup wanaotakiwa kuclear mwaka huu Tamisemi wanashughulikia hilo (hadi tarehe 15/5)....nimepenyezewa taarifa na mhanga mwenzangu aliyeenda tamisemi leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…