Canop
Senior Member
- Jan 8, 2014
- 175
- 28
Wakuu wa vyuo husika badala ya kutuma majina ya walioclear sup zao mwaka jana wao wakatuma majina ya wenye sup wanaotakiwa kuclear mwaka huu Tamisemi wanashughulikia hilo (hadi tarehe 15/5)....nimepenyezewa taarifa na mhanga mwenzangu aliyeenda tamisemi leo!