ObieTrice
Senior Member
- Jun 27, 2017
- 159
- 154
Harmonize aeleza kuhusu taarifa inayosambaa ya yeye kurudiana na Wolper sio kweli, yeye anachojua ni kwamba wolper anaupenda muziki wake ndio maana kaupost na kushare kwa watu.
Pia ameeleza mpenzi wake anayeishi naye alimuuliza kuhusu hilo akamjibu ni kawaida tu na mpenzi wake aitwaye sarah akamuelewa. kwasasa mpenzi wake ni sarah na anaishi naye kama mke na mume pia hamna mtu kushika simu ya mwenzake izo ni sheria waliyowekeana.
Pia ameeleza mpenzi wake anayeishi naye alimuuliza kuhusu hilo akamjibu ni kawaida tu na mpenzi wake aitwaye sarah akamuelewa. kwasasa mpenzi wake ni sarah na anaishi naye kama mke na mume pia hamna mtu kushika simu ya mwenzake izo ni sheria waliyowekeana.