Tetesi ya kibabe: Katavi kimewaka inasemekana Mkuu wa kituo kachezea kichapo Cha mbwa koko

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Kasongo mbona wewoo, mobali Nangaa, habari za tetesi huko Katavi inasemekana hivyo Mkuu wa kituo cha POLICE kapigwa kama zote na wananchi wenye hasira Kali na machungu kama yote.

Baada ya uthibisho neno tetesi litaondoka.

Habari ndio hivyo

Pang Fung Mi
 
Mimi ni Pang Fungi Miiiiiiiii Wa Jamiiforummmmmm!
 
Tegeta Kwa Ndevu Sasa Katavi Oops Geshi Litafute Pori
 
Safi sana mdogomdogo uoga umeanza kutoka.samia ajitathimini maana kaua hovyo watu kama mzee kibao,soka,mbise,n.k halafu kaanza kukejeli kuwa ni sisimizi.wananchi wakiendelea hivi,itakuwa mwanzo mzuri wa kuwafanya Hawa vilaza wa polisi kufuata miongozo ya kazi Yao(police general order)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…